Dr. Slaa kugombea Karatu kwa tiket ya CCM

Dr. Slaa kugombea Karatu kwa tiket ya CCM

Northpal

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2015
Posts
335
Reaction score
297
Jamani wana jamvi je uvumi huu ni wa kweli kuhusu Slaa kugombea Karatu kwa tiket ya CCM? naomba mnijelishe tafadhali
 
Daaaa wewe sijui ni mtu ngapi unauliza habari hii. Jibu ni kwamba anayegombea kwa tiketi ya ccm ni Dr. Wilbald Slaa Lorri
 
NI KWELI HUYO MGOMBEA WA UBUNGE KARATU KWA TIKETI YA CCM ANAITWA DR WILBAD SLAA LORI sio DR WILBROAD SLAA WA CHADEMA WANAFANANA MAJINA
 
Ni Dr. Slaa Lorri....

Sio Dr. Slaa Josephine...!!!
 
Jamani wana jamvi je uvumi huu ni wa kweli kuhusu Slaa kugombea Karatu kwa tiket ya CCM? naomba mnijelishe tafadhali

Wewe kilaza kweli,nadhani hata kiwango chako cha reasoning kidogo chini.unakurupuka tu eti uvumi.hamia jukwaa LA celebrity si lazima ukae jukwaa LA siasa wakati uko kilaza namna hii.
 
Thnx kwa kunifaamisha ndugu, wengi wamenipuuza bt hawaoni wanaweza kuiathiri hata kambi wanayoitumaunia... Naomba tuithamini na kuitafuta kila kura ya mtu.. Asking for information its not a crime you pipo
 
Sio wilbrod slaa ni wilbrad slaa lolli ndie atapeperusha bendera ya ccm
 
Back
Top Bottom