Dr. Slaa is officially jobless

Mkuu, sidhani kama binadamu mwenye moyo anaweza kuacha kuguswa na kinachomsibu Dr. Slaa. Kama tulivyomhurumia Zitto hatuwezi kuacha kumhurumia Slaa. Lakini huruma pekeyake haitoshi, something more than just huruma needs to be done...

Ubinadamu kwa Slaa kutoka magamba umepatikana lini? Si ndo nyie mlokuwa mnasema Slaa hana sifa ya kuwa rais coz alifukuzwa Upadre? Sasa leo umepatikana vipi ubinadamu au karudi Altareni?
 
Dr slaa alipewa dola million 2.5 na Membe ili wakimbie lowasa lakini baada ya slaa kubaini ile pesa aliyopewa ni pesa haramu ya marehemu Gadafi na balozi alikufa kifo cha utata ili kuficha ushahidi wa mali na mapesa ya marehemu Gadaf.sasa anawaza jinsi ya kufanya, Chadema wamejua kuwa ana pesa nyingi za kununliwa ndiyo maana wamekata mshahara wake.
 
Chukua account namba yake ya benki... peleka kwa mwajiri wako ili mshahara wako uende kwake moja kwa moja...!!
Imekaa vipi hilo wazo...??

Account yake ipo full mapesa ya marehemu Gadafi toka kwa membe ambaye kamnunua ili aweze kumkomoa lowasa.
 
 

thread nzima wewe umeonekana ndo mtu wengine nazi tuh! wapi kitufe cha like!
 
Kajitakia mwenyewe.

He needs to read between the Lines atajua kwanini Lowasa kakaribishwa UKAWA kugombea uraisi pamoja na Mapungufu yote aliyo nayo.

Hata tunaomshabikia tunajua sio Msafi ila tunajipa moyo hakuna ushahidi.

Yani mkuu nimefurahi sana jinsi ulivyokuwa honest
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…