Dr Slaa is just too busy with party engagements

Dr Slaa is just too busy with party engagements

Dr Slaa akiongea leo, kesho mtazusha mengine tena...kazi yake siyo ya kuongea kwenye media wakati kam huu. Jua kuna malalamiko kutoka kila pande ya Tanzania kuhusu kura za maoni ndo maana ata mzee Kinana yupo bize.

Fikeni hatua muwe waelewa kwani hamkujua kua kutakua na propaganda kama haya uko mwanzo?
 
Basi kama vipi wewe tuambie Slaa alipo.

Nadhan mpaka sasa umeamini kuwa Tumaini Makene anadanganya humu kama alivyokuwa anafanya AL Sahaf

Yericko,

Siasa ya unafiki sipendi. Nimenyamaza lakini naona mnazidi kunichokoza. Ni afadhali mngelikaa kimya kama nilivyonyamaza mimi. Uwongo wowote na upotoshwaji wowote sitauvumilia. Nitaukanusha hapo hapo. Hata kama una lengo lako ambalo silifahamu naomba sana usitumie jina langu. Nimefundishwa uwongo ni dhambi siko tayari kushiriki dhambi hiyo.

sina kikao chochote cha Secretariat sina mpango wowote ninaopanga kuwasilisha popote. Naomba watanzania wapuuze propaganda zote zinazofanyika kwa jina langu.

Ningehitaji kutuma taarifa yoyote kwa umma ningeliita Press Conference Mwenyewe au ningelitumia utaratibu wowote uliouliozoeleka.

Naomba kutoa onyo kwa mtu yeyote awaye, matumizi ya jina la Dr Slaa yakome.

==========
Moderator:
Baada ya wadau kutaka maoni ya Dr. Slaa yajitegemee na hoja ya Yericko ifungwe, tumeona ni vema kuiweka hoja hii ikijitegemea kama ilivyopendekezwa. Majibu ya msingi yapo hapa
 
Back
Top Bottom