Hapo kwenye maandishi mekundu, naona kama SLAA amejikanyaga kanyaga vile. Kwa nini asitamke wazi kuwa watawafukuza uanachama? Anaogopa nini?
Mkuu naona umefadhaika sana. Hicho ndicho unachopenda kukisikia sio ??? Kama uamuzi kama huo upo basi utatolewa na CC ya CDM na sio Dr. Slaa.