Dr. Slaa: Hakuna huruma kwa wabunge wala rushwa

Hapo kwenye maandishi mekundu, naona kama SLAA amejikanyaga kanyaga vile. Kwa nini asitamke wazi kuwa watawafukuza uanachama? Anaogopa nini?

Mkuu naona umefadhaika sana. Hicho ndicho unachopenda kukisikia sio ??? Kama uamuzi kama huo upo basi utatolewa na CC ya CDM na sio Dr. Slaa.
 
yule mbunge wa ccm aliyepokea rushwa ya 1 million kaishia wapi vile?ccm imechukua hatua gani kuna mtu katamka lolote afadhari slaa katoa tamko ccm ni sawa na mafisi inakula hata mizoga(akili ndogo kuongoza akili kubwa chini ya uongozi wa rais dhaifu kuliko wote tanzania ha ha ha
Kuna wabunge watano wa Chadema sidhani kama watapona labda wabebwe na chama chao.
 
Bora mmejua kua mwisho wa siku binadamu ni binadamu tu awe kutoka ccm au cdm wote ni wezi na wote ni wala rushwa.. Kuna siku nilisema cdm wakichukua nchi na wao wataiba ka ccm nikashambuliwa hapa haya tumejionea wenyewe.. Kuna msemo unasema 'its better the devil you know'
Kwenye RED, That is not the case always.
 
Katika Dunia hii hakuna nchi hata moja, hakuna chama cha siasa hata kimoja kinachoweza kusema kuwa ndani ya nchi yake au ndani ya chama chake watu wote ni wasafi. Kilicho tofauti ni kuwa nchi na vyama vile vyenye uongozi na vilivyo makini huchukua hatua dhidi ya waovu. CCM, serikali yake na JK wanalaumiwa na wanastahili kulaumiwa siyo kwa kuwa na watu wachafu ndani ya serikali na chama chao bali ni kutokuchukua hatua dhidi ya uchafu, kuukumbatia na kuulinda uchafu, na hivyo kuwa sehemu ya uchafu.

Kama vyama vya upinzani vitaweza kuwawajibisha wabunge wao/viongozi wao kwa kupokea au kutoa rushwa, hapo watakuwa wameonesha umakini mkubwa na kuweka bayana utofauti wao na CCM, utofauti wao ni JK.

Hapo umeongea point..umeelezea vizuri kuna watu huku wananipiga vijembe wanaona nachukia cdm wakati mi nasema ukweli..wasikae wakatudanganya kua wao ni safi wakati kuna wala rushwa pia cdm bt kama ulivyosema wakipatikanika wakaajibishwa then hapo ndio tutaona tofauti ya slaa na JK
 
Hapo kwenye maandishi mekundu, naona kama SLAA amejikanyaga kanyaga vile. Kwa nini asitamke wazi kuwa watawafukuza uanachama? Anaogopa nini?
wewe mwehu nini?au mgeni humu ,au siasa huijui,rudi zako facebook kama uliingia kimakosa.chama kinataratibu zake.hakuna alie juu ya sheria.umeambiwa cc ndio itakayoamua sasa wewe unakurupuka nini au hujui maana ya cc?
 
baadhi wabunge wamekuwa wakishupalia ufisadi na rushwa kumbe wenyewe ni maemdisadi na wala rushwa wa kutupwa.kuweni na huruma na wananchi oaowaongoza kwani nazidi kuwaweka ktk rindi la umaskini.jueni kwamba hata Mwenezi Mungu hapendezwi na haya.Ni chukizo kwa Bwana
 
Ni Ngumu sana Mbunge wa Upinzani kujikuta anakumbwa na sakata hili, Japo maamini kwenye hili suala Uchama umewekwa pembeni umebakia vita kati ya waliopo kwenye kamati na wale wasio kwenye kamati. Kimsingi ni maslai binafsi tu hapa yanayoangaliwa, watu wanatamani sana wao ndio waingie kwenye hizo kamati. Mfano wa hili ni muongozo aliouomba Mh Nassari leo asubuhi.
 
baadhi wabunge wamekuwa wakishupalia ufisadi na rushwa kumbe wenyewe ni maemdisadi na wala rushwa wa kutupwa.kuweni na huruma na wananchi oaowaongoza kwani nazidi kuwaweka ktk rindi la umaskini.jueni kwamba hata Mwenezi Mungu hapendezwi na haya.Ni chukizo kwa Bwana
 
Ni Ngumu sana Mbunge wa Upinzani kujikuta anakumbwa na sakata hili, Japo maamini kwenye hili suala Uchama umewekwa pembeni umebakia vita kati ya waliopo kwenye kamati na wale wasio kwenye kamati. Kimsingi ni maslai binafsi tu hapa yanayoangaliwa, watu wanatamani sana wao ndio waingie kwenye hizo kamati. Mfano wa hili ni muongozo aliouomba Mh Nassari leo asubuhi.

Ni kweli kabisa mkuu uliyosema.
 
Shame on you.CCM IMEPOTEZA MWELEKEO EBU MWAMBIE NAPI AKUPE CHAKO

sasa hapa ni shame on me or shame on hao ambao wanaiba! sio kila anayeongea tofauti na cdm ni ccm tu! alafu tatizo hampendi kukosolewa hata panapostaili! shame on zitto kwa kukudanganya kumbe nae fisadi na bado shame on hao unaowaamini wewe ambao waliibia sehemu takatifu! bungu ni wa maajabu,tuombe uhai mkuu utayaona tu. tatizo una:A S-baby:
 
Zitto haponi hapo
go baba letu dr.slaa rais wa nne wa jmt 2015

Ukisema rais wa nne unakuwa haujamhesabu KIKWETE???? Hata kama nidharau sasa zimefika pabaya....kwa hiyo nchi haina rais kwa sasa? Ningekuwa JK Mlisho...ningejiudhuru kupisha aibu hiii? Yaani rais wa nchi hatambuliki? Hebu eleza kidogo, ni raisi gani haumtambui kati ya hawa wanne ambao wamewahi kutawala nchi hii hadi useme kuwa Dr Slaa atakuwa rais wa nne?
 
Hivi, rushwa ya kiasi gani imepokelewa na Zitto? .... angalau watu waweke figures.
 
Back
Top Bottom