Stroke
JF-Expert Member
- Feb 17, 2012
- 38,571
- 48,921
Haha wewe unajua nini kuhsu english literature punguani wa kwanza
aminiusiamini, leo nimekutana na mtanzania mwenye IQ ndogo kuliko wote
Haha wewe unajua nini kuhsu english literature punguani wa kwanza
I find its content, full of rubbish
Inawezekana hukuielewa. Aidha, inaelekea hujui maana ya neno RUBBISH
Seriously mkuu, nazungumza nikimaanisha kwamba hii hotuba ni ya kawaida kabisa, ukitafuta first year yoyote wa sheria anaweza andika vizuri kuliko jinsi hii hotuba ilivyoandikwa...kama mwenye phd anaandika vibaya hivi, sina haja ya kutafuta hiyo phd...
Uandishi mbovu ajabu, bado sijakutana na mwandishi mzuri wa hotuba...haivutii
Dr Slaa is presidential material and speech attests to this. Not a beggar like the others.Ni hotuba nzuri sana, na ninaamini watanzania wote werevu wangependa huyu ndie awe rais wao.
Dr Slaa is presidential material and speech attests to this. Not a beggar like the others.