Dr. Slaa, chagua maneno...

Wewe na maccm mnatofauti gani na makaburu ilhali mnawatenga wachaga kana kwamba si raia halali wa nchi hii? Si nyie kila siku mnakesha hapa kuwatenga wachaga mkijidai nyie ndo watanzania kuliko wachaga?

Una ushahidi wa hiki unachoandika?

Lete post moja tu inayoonyesha mimi kufanya hiki unachonilaumu nami nitawajibika.


Acha porojo. Lete ushahidi wa tuhuma ulizo leta juu yangu.
 

Je, unadhani ilikuwa ni sahihi kwa Mandela kutumia njia za "kigaidi" kuuondoa mfuko wa apartheid?

Je, unadhani ni sahihi kwa Slaa kutumia njia za kigaidi kuuondoa CCM madarakani?

Twende kwa hoja...
 
Acha porojo. Lete ushahidi wa tuhuma ulizo leta juu yangu.

Nachosema kama unaona wanachofanya makaburu hapo ccm ni sawa na hujawahi kuwakemea wewe ni kaburu tu. Haya basi wakemee sasa hivi hao ndugu zako wanaogawa taifa ili kwa kukashifu makabila mengine kama kweli wewe shujaa nikutoe kwenye hilo kund la makaaburu! Kama huwezi wewe ni kaburu tu
 
Sasa km uongozi wa juu wa ccm wote ni waislamu huoni km ni ubeberu huo
 
Wewe na maccm mnatofauti gani na makaburu ilhali mnawatenga wachaga kana kwamba si raia halali wa nchi hii? Si nyie kila siku mnakesha hapa kuwatenga wachaga mkijidai nyie ndo watanzania kuliko wachaga?


Kwahiyo HUNA ushahidi. Ni uungwana kuomba radhi kwa kutoa tuhuma zisizo za ukweli.

Kutoa tuhuma za uongo za kujenga chuki za kibaguzi ni dhambi kama jinsi ubaguzi wenyewe ulivyo.

Tuhuma zako za UONGO dhidi yangu zimedhamiria kujenga ubaguzi. Hilo ni kosa. Usiendelee kufanya hivyo.
 
Tatizo lako unayapa mata*ko kazi ya kufikiri,kazi ambayo kimsingi sio kazi ya mat*ko
 
Survival of the fittest. Slaa was not fit, he couldnt survive in CCM.

Hiyo theory ya Darwin ungeitumia kipindi zito anavuli nyazifa zake CDM ningekuona mwenye akili timamu lakini bado wewe ni Debe tupu tu.
 
Je, unadhani ilikuwa ni sahihi kwa Mandela kutumia njia za "kigaidi" kuuondoa mfuko wa apartheid?

Je, unadhani ni sahihi kwa Slaa kutumia njia za kigaidi kuuondoa CCM madarakani?

Twende kwa hoja...

ZeMarcopolo,

Ni hivi, you are either with Mandela or against him.

Kwa maneno mengine ni ama unasimama na Mandela au unaungana na Makaburu. Dr Slaa kasema anasimama upande wa Mandela, je, wewe unasimama upande upi? simple?
 
ZeMarcopolo,

Ni hivi, you are either with Mandela or against him.

Kwa maneno mengine ni ama unasimama na Mandela au unaungana na Makaburu. Dr Slaa kasema anasimama upande wa Mandela, je, wewe unasimama upande upi? simple?

Hujajibu swali.

Slaa hahasimama upande wa Mandela. Angekuwa upande wa Mandela asingefananisha maisha ya watanzania na hali aliyokabiliana na Mandela.

Slaa anapewa ruzuku na serikali ili afanye siasa, lakini anajifananisha na mtu aliyefungwa miaka 27 ili asifanye siasa.

Jibu swali twende kwa hoja...
 
JF imewapa kiburi ..hata ivyo simbaya kama maoni yapande zote yanaweza kusikika.
 
Kwahiyo kuongea na Rostam Aziz ndio kosa la Wangwe!!!

Mushi siku hizi sijui nini kimekukuta...
Mkuu ni heri uconcentrate kwenye shghuli yako inayokupatia kipato,kama humu ni mojawapo ya shghuli za kukupatia kipato,basi samahani sana sitoweza kujadiliana na wewe.Mimi hapa silipwi mkuu.
 
Mkuu ni heri uconcentrate kwenye shghuli yako inayokupatia kipato,kama humu ni mojawapo ya shghuli za kukupatia kipato,basi samahani sana sitoweza kujadiliana na wewe.Mimi hapa silipwi mkuu.

Mkuu Mushi,

Naona kuporomoka kwa Chadema na kubainika kwa ulaghai wake kumekuchanganya kabisa.

Pole sana. Ndio siasa zilivyo, kuna kupanda na kushuka.
 
Mkuu Mushi,

Naona kuporomoka kwa Chadema na kubainika kwa ulaghai wake kumekuchanganya kabisa.

Pole sana. Ndio siasa zilivyo, kuna kupanda na kushuka.
Kama wewe uko kazini endelea tu,wengine purpose ya kujiunga humu ni ile ile,na ndiyo maana tuna mawazo huru.Wewe umekaririshwa na pengine ni kwasababu upo kazini.Samahani sitoweza kujadiliana na watu dizaini hiyo ya kwako.
 
Naunga mkono hoja,Slaa yuko desparate kwa kias kikubwa sana,

Na sisi watanzania sometimes tunakuwa mazuzu sana.

Mimi naomba niulize swali moja,

Hivi kama Dr.W.Slaa ameshindwa kuwa mtiifu kwenye kazi ya mungu na kutenda haki huko,na kufikia hatua hadi kuasi na kudondokea kwenye maisha ya kidunia yaliyojaa kila aina ya udandanyifu,

Ataweza vipi kutenda haki na usawa kwenye ufalme huu wa wanadamu?

Hata hili hatulion??

Slaa anayo mengi ya kutubia kabla hajaja hadharani na kuonesha boriti kwenye macho ya wenzake
 
Last edited by a moderator:

Naona unatumia nguvu kubwa sana kuungaunga story lakini argument ya Dr Slaa iko very clear. Kwamba mfumo tulio nao sasa una elements za apartheid, unabagua watu kwenye haki za msingi. wengine wanakufa kwa kukosa dawa wakati wengine wanapelekwa india kwa matibabu.

Kumuunga mkono Mandela ni pamoja na kukubali kile alichokuwa anapigania - haki sawa.

Hoja yako ya pili kwamba Dr Slaa anapewa ruzuku na serikali ili afanye siasa lakini anajifananisha na Mandela, haina mashiko. Labda ufafanue siasa ni nini, siasa inafanywaje, na ni mambo yepi ni siasa au la? na je kujilinganisha na mtu ni kinyume na kufanya siasa?
 

Kwani kazi ya Mungu ni ipi na kazi ya shetani ni ipi?
 
Last edited by a moderator:


Mkuu,

Naona umekosa majibu ya maswali mawili niliyokuuliza. Unachokifanya hapa kinaitwa beating around the bush.

Maswali yangu yalikuwa straight forward na nilitegemea kama umejiandaa kwa hoja uje na jibu straight forward, sio kuanzisha mijadala mingine juu ya mjadala.

Ngoja nikuulize swali lingine jepesi kidogo. Je, mfumo wa apatheid Afrika Kusini umeondolewa au bado upo katika nchi hiyo?
 

Watu werevu wameshatambua kuwa Slaa ni mwanasiasa mlaghai.

Leo Slaa amepigwa mawe huko Kasulu na wananchi wenye hasira kali walioshindwa kuvumilia ulaghai wake.

Jeshi la polisi analolitukana kila siku ndio lililomuokoa asidhurike na mawe hayo!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…