Dr. Slaa, chagua maneno...


Muua tembo kahutubia watu 31 Njombe ahahaha!
 

Dr slaa isn't a medical dr but a phd dr
 
Div 5 ingine ya Mulugo hii hapa!
Dr Bilali awe wa kwanza kujiondoa madarakani kwa ukikongwe wake!

Tatizo sio umri kama namba ya miaka, tatizo ni umri unapoleta mabadiliko ya haraka ya uwezo wa kufikiri na kuchanganua mambo.

Wapo watu wanafikiri vizuri at the age of 80, wengine uwezo wao unafifia at the age of 60.

Slaa anapaswa kujipima...
 
Umezungumzia ubaguzi kwa mtazamo finyu sana. Ubaguzi unaofanywa na CCM ni zaidi hata na uliofanywa na makaburu, kwani makuburu hawakuwa waafrika wenzetu lakini CCM ni watanzania wenzetu. Dr.Slaa hata hivyo nafikiri alitumia maneno mepesi zaidi kuliko na ambavyo alipaswa kusema kuonesha ubaguzi mkubwa unaofanywa na tuliofikiri ni wenzetu katika kuikomboa nchi na kuweka usawa kwa raia wote. Kaa chini utafakari upya dhana ya ubaguzi.
 
Umechambua vizuri kiasi kauli ya DR. Slaa, lakini unachokisahau ni kuwa
1. CCM huruhusu wananchi kuchagua mgombea wamtakae lakini atakayetangazwa ni yule wanaomtaka mfumo wa chama.
2. CCM hii hii ndio imekuwa ikinuka rushwa katika chaguzi zote, huku wengine wakibashiri kuwa hiyo ni takrima. Je penye rushwa pana haki?
3. CCM hii hii ndiyo inayokataa kufanya marekebisho ya daftari la wapiga kura ktk chaguzi ndogondogo, sababu hazijawahi kutolewa zikashika uwezo wa kufikiri wa watanzania.
4. CCM hii hii ndio imekuwa ikitumia wajumbe wa nyumba kumi (Mabalozi) wake kununua kadi za wapiga kura
5. CCM hii hii ndio imekuwa ikikamata wale wote wanaoonekana kuibana katika chaguzi na kuwafanyia usumbufu wa hapa na pale ikiwepo ofisi za chama kugeuzi lupango katika baadhi ya chaguzi
6. CCM hii hii ndio imekuwa ikishindwa kuwawajibisha viongozi wake hata pale wanaposhindwa na kwenda tofauti na misingi si ya chama pekee bali hata wanapovunja sheria za nchi. Vigogo wamekuwa mafisadi wa kutupa, Mikataba feki, wabakaji, waizi na hata kufanya biashara haramu n.k lakini hatujawahi shuhudia hatua dhidi yao.
7. CCM hii hii ndio viongozi wake wamekuwa baadhi ya koo toka nchi ipate uhuru mpaka sasa.
Kwa kuwa kila mtu ana uwezo wake binafsi kufikiria, kuona na utashi hivyo anaweza kuendelea kuongeza / kupunguza awezavyo
 
Nyerere aliwahi kunukuliwa kwa kusema kuwa "hatumchukii kaburu kwa rangi yake bali kwa matendo yake ya kikatili kwa wanadamu" Sioni kibaya alichokisema Dr Slaa zaidi ya kukubaliana nae 100% Chini ya CCM wananchi wananyang'anywa ardhi nzuri yenye madini na kupewa wanyonyaji, Chini ya CCM madaktari wamepigwa wameng'olewa meno na kucha, Chini ya CCM wananchi wamedhuriwa kwa kunyweshwa maji yenye sumu kutoka migodini, Chini ya CCM wachagga wanabaguliwa live! Chini ya CCM udini metamalaki, Chini ya CCM wakulima na wafugaji wanauana, Chini ya CCM wanafunzi wameuawa kifikra, Chini ya CCM wananchi wengi wamepoteza maisha kwa kukosa huduma muhimu za afya, Chini ya CCM utajiri wetu unakwapuluwa kwa kwenda mbele... Chini ya CCM Maisha yanazidi kuwa magumu Tembo wanaangamizwa Twiga wanakunjiwa kwenye ndege... Chini ya CCM wengi wameuawa wakiwemo waandishi wa habari kikatili... CCM = Apartheid era...
 

Ua too foolishness
 

Can this equate to apartheid?
 

Wewe na maccm mnatofauti gani na makaburu ilhali mnawatenga wachaga kana kwamba si raia halali wa nchi hii? Si nyie kila siku mnakesha hapa kuwatenga wachaga mkijidai nyie ndo watanzania kuliko wachaga?
 

Je, unafikiri matumizi ya vitendo vya kigaidi kuondoa mfumo wa apartheid Afrika Kusini ilikuwa sahihi?
 
Je, unafikiri matumizi ya vitendo vya kigaidi kuondoa mfumo wa apartheid Afrika Kusini ilikuwa sahihi?

Maccm ni makaburu tu. Udini? Kutenga watu kimakabila wachaga for instance? Ni makaburu tu
 
Je, unafikiri matumizi ya vitendo vya kigaidi kuondoa mfumo wa apartheid Afrika Kusini ilikuwa sahihi?

Maccm ni makaburu tu utaki unaacha. Ni sawa tu na yale makaburu ya SA hayana tofauti. Mabaguzi yamejaa chuki na wivu kwa makabila flani flan ni makaburu tu
 
Mhhh, kawaambie Mwangosi family au Ulimboka. Nafikiri Mwangosi (RIP) angelichagua kuwa Mandela. Wee subiri siku JEMBE Msangi akukamate huna Panadol ndiyo utakoma. Na hapo kama atakuwepo Rama Mgogo, weeee.....

 
Kwahiyo unaunga mkono kauli ya Slaa kuwa apartheid ni sawa na mfumo tulio nao?

If yes, je utaunga mkono matumizi ya matendo ya kigaidi kuuondoa huu mfumo uliopo Tanzania?

If no, je una tofauti gani na comments hizo kutoka CNN?

Maccm ni makaburu tu. Mwache Mandela mwache apumzike usimtumie kwenye masiasa maji taka yenu haya. Kaburu wewe
 
Weka picha tuone:

Ili iweje? Mi nilishasema kwamba chadema ni saccos ya kudandia hoja na kuzigeuza mtaji! Haya sasa mzee kadandia hoja ya ubaguzi wa rangi ndio anajilinganisha nayo,,huku anjua analindwa analala kwenye viyoyozi, anatumia gari la kifahari,helcopter n.k, kisa tu, amekosa urais basi nchi ni kibaguzi! Kweli uzee ni dawa lakini wa huyu mzee ni sumu!
 
Ze marcopolo au ze layland tena ya 1700:
Anyway, nimeshindwa kuendelea kusoma uchafu wako.
 

Jitafakari na ujipime kwa hiki ulichokiandika maneno ya Dr. Slaa yapo sahihi kabisa naomba tujikumbushe yafuatayo na tuone kama hayashabihiani na utawala dhalimu wa MAKABURU.

1.Viongozi karibu wote wa CHADEMA na wabunge wao wameisha shitakiwa na kuwekwa mahabusu katika vipindi tofauti kwa makosa ya kusingiziwa(kutengenezwa) - Hili pia lilitumika na Makaburu

2. Mikutano mingi ya chama Hiki (CDM) imekuwa ikifanyiwa vitu vya ajabu vikiongozwa na Polisi na wafuasi wa CCM Ref. Ndago, Arusha, Morogolo na sasa Kigoma

3. Vitisho utumika na hata kusababisha mauaji kwa raia ili waogope kushiriki mikutano ya kisiasa ya CDM na mbinu hii ilitumika pia na makaburu kwani walikuwa wanakamata watu na pia kuvuruga mikutano hiyo na kutumia siraha za moto na kuua.



Huyu mama anamlilia Mme wake Mwangosi aliyeuawa kinyama, hiki pia hakipo mbali sana na yaliyofanywa na Makaburu kwani wanawake wengi sana walilia kama mama huyu
 

Wewe si kila siku unawabagua wachaga na kuonyesha chuki ya wazi wazi. Ungekuwa na bubduki wewe si ungekuwa katili kushinda hawa Wa SA? Ni ukaburu tu sio lazima uwe mzungu ndo uwe kaburu sawa wewe popompo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…