Slaa katumiwa na cdm,na tumia neno zuri kama gloves za tabibu, sasa katupwa kule hana maana tena.
Hiki ndicho kitakacho wapata wanamafuriko. Octoba walio wa weka madarakani watakuwa wanahangaika kulipa madeni ya hela walizokopa kuzitumia kwenye kugharamia mafuriko.