Dr Slaa alinitia moyo mkuu Igunga-Kashindye

Dr Slaa alinitia moyo mkuu Igunga-Kashindye

Kama mlivyowaweka wa kwenu wanaochukua rushwa hotel......
rushwa ni asili ya mtanzania, tangu enzi za machief na mpaka mwisho wa hii dunia watu watalamba kwa kwenda mbele. wewe mwenyewe ukipata channel lazima utalamba kitu kidogo. Hakuna cha Slaa,Mbowe,JK wala nani. Tatizo linakuja pale unakuta mtu anahongwa hela ndogo anafanya mambo makubwa.

Wewe leo hii nikisema njoo uchukue laki moja ukamtukane Lema JF utakuja humu na kumwaga matusi mpaka utakula ban.
 
Sasa mtu kama huyu mwenye njaa akiingia bungeni si atapokea hongo hata la elfu kumi.
Acha kuzarau watanzania walio masikini wewe,kwa vile mungu amekupa wale hambao hawana kitu unawazarau wewe hufai hata kuwa katibu kata unafikiri mtu masikini aliomba kuwa hivyo?hujui huo umasikini umetokana na mfumo wa serikali hii,koma kabisa kuleta zarau kwa wasionacho.
 
rushwa ni asili ya mtanzania, tangu enzi za machief na mpaka mwisho wa hii dunia watu watalamba kwa kwenda mbele. wewe mwenyewe ukipata channel lazima utalamba kitu kidogo. Hakuna cha Slaa,Mbowe,JK wala nani. Tatizo linakuja pale unakuta mtu anahongwa hela ndogo anafanya mambo makubwa.

Wewe leo hii nikisema njoo uchukue laki moja ukamtukane Lema JF utakuja humu na kumwaga matusi mpaka utakula ban.

Wewe utakua unamdudu kichwani kwa vile unapokea rushwa unaona ni kila mtu anapokea
 
Dk.Slaa ni kiongozi wa aina yake.
Abarikiwe sana.
 
Hizi nyimbo zilipigwa sana radio JF,we ndio unazisikia leo?
Kiongozi nakuomba uache ushabiki wa kichama kwa dk japo moja tu halafu ufikirie maisha ya Watanzania walio wengi jinsi wanavyotaabika na maisha halafu ufikirie pia jinsi viongozi wa Serikali wanavyotapanya rasilimali tulizo nazo, pamoja na ukwasi walio nao lakini bado wanaendelea kupokea rushwa na kuiuza Nchi kwa bei chee,nimetembea Mikoa kadhaa hapa Tanzania hali ni mbaya kiasi haihitaji ushabiki wa Chama, sisi Wananchi wa kawaida (kama wanavyotuita viongozi wetu) tunatakiwa tuamke sasa nakuwaambia imetosha, lakini tukiendelea na ushabiki kama huu ndugu zetu wataendelea kufa kwa magonjwa yanayotibika.
Nilikuwa kijiji kimoja nikamsikiliza dada aliyekuwa anaelezea jinsi alivyopata ugonjwa Fistula, nilisikitika sana kwani umaskini wake wa kukosa 2000 ya kumhonga nesi ndio ukampatia huo ugonjwa...... Hali ni mbaya tofauti na unavyozani mkuu, tafuta jinsi ya kuwakomboa Watanzania wenzako sio kushabikia uroho wa CCM.
 
Sasa mtu kama huyu mwenye njaa akiingia bungeni si atapokea hongo hata la elfu kumi.

Sio kila masikini si mwaminifu tana si kila tajiri ni mwaminifu. Wako mabilionea wanaendelea kuiba na wako masikini ambao hata ukimwekesha kilo 1 ya dhahabu baada ya mwaka 1 utakuta ameitunza kwa uamnifu!!!
 
Bora uchague maskini mwenzako ambae atajali shida zako. Mbona hata Arumeru tulimpiga tafu Nasari kwani till now tangu awe mbunge umeshackia amepokea rushwa?
 
Kumbe alikua hana hata pa kulala? Duh ,bora wampe ubunge na yeye apate pa kuishi na kula vizuri.

Hujui tu, walimu wa nchi hii walivyodharaulika.Namuombea mwalimu huyu aingie bungeni ili akawatetee wenzie.Maana ukiwa ndani ya bunge walau kidogo unasikilizwa.
 
Igunga wanahitaji pongezi wamechanga mil 6 zimeshinda kesi CCM Kafumu pekee ametumia mil 90 na ameshindwa kesi ona fedha isivyokuwa na thamani kwenye haki.
 
Hivi mnyika na Lema wao gharama za kesi zilitolewa na wananchi pia?
 
rushwa ni asili ya mtanzania, tangu enzi za machief na mpaka mwisho wa hii dunia watu watalamba kwa kwenda mbele. wewe mwenyewe ukipata channel lazima utalamba kitu kidogo. Hakuna cha Slaa,Mbowe,JK wala nani. Tatizo linakuja pale unakuta mtu anahongwa hela ndogo anafanya mambo makubwa.

Wewe leo hii nikisema njoo uchukue laki moja ukamtukane Lema JF utakuja humu na kumwaga matusi mpaka utakula ban.


Hapo kwenye Red... Not Me sir....:israel:
 
Sasa mtu kama huyu mwenye njaa akiingia bungeni si atapokea hongo hata la elfu kumi.

Ni mawazo yako, ingawa siyo kweli kuwa asiyekuwa nacho ndo mpokeaji wa rushwa, so wor not, au unatakasema kuwa siasa ni kwa ajili ya wenye nacho tu?
 
Back
Top Bottom