mende 2014
JF-Expert Member
- Apr 13, 2014
- 763
- 131
Habari magazetini Rfa zasema rais wa Zanzibar Dr Alli M. Shein ndiye atakaye mrithi rais Dr.Jakaya Kikwete October mwaka huu.
mayoniseKumbe inaruhusiwa kuwa raisi huku na kule?
Kumbe inaruhusiwa kuwa raisi huku na kule?
Habari magazetini Rfa zasema rais wa Zanzibar Dr Alli M. Shein ndiye atakaye mrithi rais Dr.Jakaya Kikwete October mwaka huu.
Habari magazetini Rfa zasema rais wa Zanzibar Dr Alli M. Shein ndiye atakaye mrithi rais Dr.Jakaya Kikwete October mwaka huu.
haa haa acha utani mkuu. Kwa taarifa yako shein ni bora mara 1000 kuliko jk. Sembuse mkeo.Kwa udhaifu wa Shain ni bora hata mke wangu.
ukawa hata wakishinda hawatatangazwa washindi kamwe. Tumeona dalili kwenye uchaguz wa serikali za mitaa.Ha ha ha kama kweli UKAWA wanasubiri kuapishwa kiulaiiini kabisa.
Habari magazetini Rfa zasema rais wa Zanzibar Dr Alli M. Shein ndiye atakaye mrithi rais Dr.Jakaya Kikwete October mwaka huu.