Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,316
- 33,125
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Alhaj Dk Ali Mohamed Shein, akiwa katika futari na wananchi wazee wa kijiji cha Mkanyageni Mkoa wa Kusini Pemba, aliyowaandalia katika viwanja vya Skuli ya Mkanyageni.
Baadhi ya wananchi na waumini wa Dini ya kiislamu wa Kijiji cha Mkanyageni na vitongoji vyake, wakifutari pamoja na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Alhaj Dk Ali Mohamed Shein, katika viwanja vya Skuli ya Mkanyageni.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi,Alhaj Dk Ali Mohamed Shein,akisalimiana na wazee,pamoja na wananchi wa kijiji cha Mkanyageni Mkoa wa Kusini Pemba,baada ya kufutari pamoja na wananchi hao katika futari maalum aliyowaandalia katika viwanja vya Skuli ya Mkanyageni.
Picha na Ramadhan Othman/IKULU ZANZIBAR :clap2::first: