Ndugu wana Jamiiforum
Baada ya kuombwa na wanajamii kutafuta wasifu wa Dr. hildebrand Shayo niligundua kuwa huyu jamaa amekwenda shule kweli kweli na siyo mchezo. ninaweza kuwahakikishieni kuwa hiyo issue ya grammer ambayo baadhi yenu wamefanya kama ni kigezo ni kitu cha kawaida katika uandishi, kwani lugha ya kiingereza siyo yetu. Hata waingereza ukiwaambia waandike kiswahili sanifu watakosea tu.
Ila utafiti wangu umegundua haya yafuatayo:
Shule: Huyu jamaa alisoma shule moja huko kilimajaro inaitwa Kisuluni pr. Sch.
Secondary O level Shule ilikuwa kilimajaro na alipata Div. 1 ya point 9
secondary A level Shule morogoro alipata Div 1 point 5
Jeshini alikuwa Oljoro Programme ya chama na alikuwa F coy
Chuo kikuu cha dar es salaam alisoma uchumi
Chuo kikuu MA dar es salaam alisoma Dev. Studies
PhD Kule UK chuo kinachoitwa LSBU
Adv. Diploma GIS geographyical information system/planning pale
Canterbury University UK
Diploma Dilomancy and bilateral negotiation The Netherlands
Kazi: Aliwahi kufanya kazi ofisi ya waziri mkuu pale magogoni
Aliwahi kufanya kazi PCB uhakika muulizeni Hosea director wa PCB
Aliwahi kufanya kazi nyerere foundation kumsaidia Mwal. Nyerere
wakati wa kuwapatanisha waburudi kule arusha
Aliwahi kufundisha pale chuo kikuu IDS
chuo cha ardhi
Muhimbili
Chuo cha maofisa wa jeshi pale Kurasini
Kairuki University
Kwa sasa ni mwalimu huko UK
Chama: huyu jamaa ni mwana UVCCM card number 351008 ilitolewa Moshi 1982
CCM card number 803546 ilitolea Oljoro Arusha
KWA KIFUPI NI MWANA CCM!
Kutoka Bank niligundua anaccount CRDB
NMB tawi la mlimani chuo kikuu
Huyu jamaa ni resource person wa UN organisations, WB, SECO na mashirika mengine ya kimataifa kama BBC UK, Radio ya kiswahili Ujerumani nk.
Dini ni Mkristu na ni mseminaryna ni mtu wa familia!
Kutoka mambo ya ndani Tanzania, utafiti unaonyesha aliwahi kupata pasi ya kusafiria number A01291!! PASI IMEJAA, ALIPEWA PASI NYINGINE A00276!! NA record za hivi majuzi mwezi wa 9/2008 pale dar airport inaonyesha kuwa alipita akiwa na hii pasi mpya AB 0!64!!
mchango wake kwa jamii unaonyesha kuwa ameitembelea mikoa yote ya Tanzania katika nyakati tofauti kati ya 1997-1999. Niliwahi kukutana naye Mbekenyela na Likombe katika shughuli zake za utafiti! Ukitaka kujua ni utafiti wa namna gani basi niwaelezeni next time!!!!
NDUGU WANA JAMII FORUM, siyo kuwa ni kazi yangu kutumia gharama, muda, na kupiga simu huku na kule kutafuta data kama hizi, ila nilitaka tu kwajulisheni huyu jamaa yuko mbali na achaneni naye kabisha??????????????????
Ningewashauri nyie ambao hamna topic za maana muache hizo tabia zenu za kumlinganisha mtu kama huyu na yule mwizi wa magari Mponjoli!
ninafull biography ya huyu jamaa kwani tukiwa oljoro mimi nilikatwa bogi nikapelekwa Makuyuni na yeye akabakia Oljoro. I know him very well.
kama kuna mwana jamii forum ambaye anataka kupingana na detail hizi basi huyu atakuwa mwendawazimu.
Mimi nindahani kama angekuwa ni mtoto wa "kigogo" basi ungekuta sasa hivi ni mtu mwnye .........
huyu ni mtoto wa mkulima na amefika hapo alipo kwa JITIHADA ZAKE
Ndugu wanajamii naomba kuwakilisha HOJA!
Hi nyie wanadamu! hanma haya? huyu jamaa alisom Apostle of Jesus Seminary...na mtakumbuka miaka hiyo ilikuwa shule ya kwanza akiiburuza St James na Maua Seminary nimeomba nilitewe number ya shule zote mbili na za mitihani yake kwa uhakiki lakini ni mpaka jumatatu nitakupeni jibu kamili! bongo saa hizi wako kwenye vikontena!
A level alisoma St Peter's Seminary kwa wale wanaokumbuka ilikuwa inaiburuza kilagala girls! It was one of top secondary school in Tanzania!
kulikuwepo na Mwalimu wa Economics alikuwa anaiywa Mwaisondola na mwalimu wa history alikuwa anaitwa Mshiu na rector alikuwa nanaitwa Father Kizee mpo hapo?
Kuja mwanajamii amesema tunaingilia privancy ya mtu kwani kuna siri gani kama wewe siyo FISADI unaogopa nini? Mliomba mpewe data, nimewapa data sasa mnagopa nini?
Kuna jamaa mmoja kanitumia text kwenye simu anauliza hivi yeye ni mtundu wa computer na mara nyingi huwa anapenda kujua watu. anapendekeza kwa wanajaii forum kumgoogle dr.shayo kwani watapata mchango wake kwa jamii siyo ya kitanzania tu bali duniani.
if you want more details on Shayo ask the following: Dr. Nchimbi, Dr. Siril Chami