Dr. Salim A. Salim aula Mo Ibrahim

Dr Salim A. Salim, you are exemplary and second to none in terms of adhering to diplomatic leadership and governance. Congratulations.
 

Mkuu naomba nikusahihishe maana mie nilisikia kutoka kwa mtu wa karibu kutoka CCM kuwa Nyerere alimuona hajapata experience vya kutosha akamuambia asichukue form za urais. Ndio maana akaambiwa akagombee nafasi ya OAU ili imuandae aje kuchukua nchi. Vyote hivyo vilipangwa na Nyerere mwenyewe akijua kuwa atakuja kumpigia kifua ili jamaa achukue nchi. Alipofariki Nyerere Dr Salim aliona bora ajaribu kugombea tena ndipo fitna na majungu vilipoanza simple kwasababu jamaa kuna watu walitaka watawale Tanzania (Akina wanamtandao). Ndio hao hao walishirikiana na watu kutoka zanzibar kuanza kampeni ya chuki kwani iliona ndio njia pekee ya kumzuia jamaa asipite.
 
Mdondoaji,
Getruda na Warioba na CC ya CCM wakati huo (1985) wana siri kubwa. Sina ushahidi wa maana hapa hivyo nachelea kuyaandika hapa. Mwaka 2005 SAS alipita CC, akapita NEC akaja kuangushwa na kampeni za ajabu na aibu za wanamtandao kwenye Mkutano Mkuu wa CCM. Nadhani dhambi hii ndio inayowatafuna JK na wenzake kwenye utawala wao.
 
Mkuu,

Nakubaliana na wewe ila hauoni kwamba hizi si zama kuweka siri kama jamaa alikataa wito ni bora tujulishwe kwani tunaweza kumfahamu kiongozi wa aina gani. Tunaweza kumpa sifa asizostahiki.
 
Hongera Dr Salim Ahmed Salim, the best President we never had, thanks to Rostam & co. at the CCM conference 2005.

Instead they gave us Rostam and his sidekicks Lowassa & Kikwete (in that order of importance).
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…