Jay One JF-Expert Member Joined Nov 12, 2010 Posts 18,535 Reaction score 20,730 May 9, 2019 #1 Mungu ww ni Mungu, kazi yako haina makosa, katika adhabu kubwa kabisa uliyompa binadamu ni KIFO.. Bwana umetoa, na Bwana umetwaa, jina la bwana libarikiwe..!! πππ
Mungu ww ni Mungu, kazi yako haina makosa, katika adhabu kubwa kabisa uliyompa binadamu ni KIFO.. Bwana umetoa, na Bwana umetwaa, jina la bwana libarikiwe..!! πππ
ruby garnet JF-Expert Member Joined Apr 10, 2017 Posts 2,922 Reaction score 3,912 May 9, 2019 #2 Leo nimeona tofauti kati ya Tajiri na masikini. Watu hatupo sawa ila binadamu tupo sawa.
Wakusoma 12 JF-Expert Member Joined Jul 3, 2017 Posts 5,375 Reaction score 15,278 May 9, 2019 #3 never get lost. RIP DADY.
Jay One JF-Expert Member Joined Nov 12, 2010 Posts 18,535 Reaction score 20,730 May 9, 2019 Thread starter #4 ruby garnet said: Leo nimeona tofauti kati ya Tajiri na masikini. Watu hatupo sawa ila binadamu tupo sawa. Click to expand... Mengi alikuwa Mengi kweli, kwaheri baba..
ruby garnet said: Leo nimeona tofauti kati ya Tajiri na masikini. Watu hatupo sawa ila binadamu tupo sawa. Click to expand... Mengi alikuwa Mengi kweli, kwaheri baba..