Hawa watu mbona wajinga hivyo; kila mtu anapochaguliwa kutumikia mashirika ya kimataifa angekuwa anafanya maandamano kama huyu zuzu si foleni zingefika TABORA kwa Kapuya!! Acheni ulimbukeni huo huyu Dau is just a religious zealot who is using the current weak leadership to advance his personal agenda based on his religion!!!
Jamaa ni mchapa kazi, ndio maana shirika lake linafanya vizuri. Mkapa alimpenda sana, kiasi cha kumrecommnd uwaziri katika serikali ya JK
Bw Mngony umenena , Dr Dau is one of the remarkable people to deal with, he is very decisive, principled and his verbal agreement are bonded in super glue, one doesn't need to worry, he will always stick to his words and commitments. he is humane and a very charitable person, who looks after the poor, he is true to the people of Tanzania, and is one of the very few officials who has not forgotten the village he comes from.
Although he is an example to be followed and who is recognized and appreciated world wide here back home we do not value him, although i do not share the same faith, i have noticed that what is being said of this issue to be biased and not true, Dr Dau is very Fair Man. Tumuombee mungu amlinde na ma hasidi na wanafiki haswa wa kutoka nyumbani hao ndio wabaya zaidi, kwani ulimwengu unampenda. long live Dr Dau.
usilalamike sana kijana ndio kawaida hiyo kwani hata ukienda upande wa pili mambo yako hivyo hivyo...dr bwana,wewe na chuo chako mimi na six yng yule niko mkoani nakula kiulaiiiiiiini, nssf bwana kazi kidogo hela nyingi.........lkn usijali mdau c o lzm wote tuwe nssf endelea na biashara tutakuja kununua au nenda hata bandari unaweza ukapata kazi....!?
Umeipimaje hyo performance?
.. usitoke kwenye mjadala hawa nisawa nakukubali kushindwa na mbaya zaidi utakuwa umekubali kushindwa na watu wasio nahoja wala ukweli na wasio jitambua rudi tupambane hawa sio wajuzi mbele yetu na watu madhalim
.. usitoke kwenye mjadala hawa nisawa nakukubali kushindwa na mbaya zaidi utakuwa umekubali kushindwa na watu wasio nahoja wala ukweli na wasio jitambua rudi tupambane hawa sio wajuzi mbele yetu na watu madhalim
Mohamed SaidBizmak,
Hatoki mtu hapa.
Mwambie Shariff Ritz awe na stahamala.
Nguruwe ukimsusia shamba la mihogo atalimaliza.
Wacha waondoe post zetu wabakize za kwao lakini sisi tunao hadi kiyama
In Sha Allah.