Kafungiwa na vyombo halali vya TFF vinavyojitegemea ambavyo Rais WaTFF hana mamlaka ya kuviingilia, na bahati njema katiba inasema viongozwe na wanasheria.Na aliyeongoza kikao alikuwa ni wakili maarufu Jerome Msemwa mmoja wa wadau wakubwa wa Simba.Haki imetendeka, na ikumbukwe Ndumbaro aliweka wakili kwenye kesi hii hili amtetee.Kuhusu ufisadi ni habari za kuokoteza watu waliochanganyikiwa, hivi kama kuna ufisadi si angetoa nyaraka.Hivi TBL waone ufisadi wasijitoe?tuache kudanganywa.kuna mambo ya msingi anataka kuficha, ila siku si nyingi nchi nzima itamtambua kuhusu anayofanya kwa kivuli cha soka.alikuwa wakala mnajua aliyoyafanya kuhusu Joseph Kaniki na Yusuf Soka, amewahi kujiita match agent je Tanzania imeshawahi kuwa na wakala wa mechi?