Mbona mnafurahi wakifukuzwa kwa kudhalilishwa, hizi ni roho za kimaskini tu zinawasumbua. waache watu wafurahie tatizo lako nini.Hivi huwa mnafaidika nini kushangilia mtu asiyekujua wala kukufahamu akipata ulaji ambao ni kwa ajili yake na familia yake?
Binafsi sijawahi kulielewa hili!