Dr. Mwakyembe na Dr. Slaa watishiwa kuuawa

likitumika kama toilet haliwezi kuumiza? (utani) .kuhusu mwakyembe mimi simuungi mkono achague moja kuwa moto au baridi pia kama kweli ni mpigania haki kwanini aongope kwani kina dr silaa sio watu yeye achague kama anaogopa kufa amwombe radhi rostam.

Hili si suala la kuungwa mkono, ni suala la maisha yake. Hivi ukiletewa taarifa kuwa jirani yako anatafuta sumu ya mamba kukuwekea kwenye kisima chako, unanyamaza kimya ili uonekana baridi au motomoto? Ama kweli mkuki kwa nguruwe! Kawaida, ni mtu kwenda Polisi ili wachunguze! Mbezeni Mwakyembe mnavyotaka, Kamati aliyoiongoza itabaki katika historia ya nchi hii kuwa chachu ya mabadiliko ya kisiasa nchini. Maadui anao lukuki, tunawajua, ndiyo maana wengine tunamwombea!
 

Hivi haya unaandika ukiwa matikas au soba. When you are not in a position to think dont join the great thinkers.

Wewe unataka tujadili nini zaidi ya maslahi ya taifa letu. Wewe yaani sina neno la kukuita.
 

Kwa sababu ni mawazo yako sitaki kukusema ila wewe ni wa kuogopwa kama UKIMWI inawezekana na wewe umo kwenye ujinga huu unaofanywa na mafisadi.
 
Kweli Mwakyembe mzushi msema kweli ni Hosea aliyesema Richmond haina tatizo na akaishia kusifiwa kwa kazi nzuri.
 
POLE Dr.
ILA NAZANI UMEPITIWA KIDOGO KWA KUTUMIA HEADED PAPER YA SERIKALI WAKATI ISSUE YENYEWE NI KAMA PERSONAL VILE JAPO WEWE NI WAZIRI
 
Madai ya Mhe. Mwakyembe ni ya msingi lazima yafanyiwe kazi na IGP pamoja na Jeshi lake!
Mwakyembe ni Professional Lawyer kwenye level ya Doctor HAWAWEZI KULETA MADAI AU TUHUMA ZA VIJIWENI!!!
Katika madai yake ANA VIELELEZO: Kuna NAMBA ZA MAGARI ZIMETAJWA TENA MAGARI YA SERIKALI (ST-X na SM)! Je, ina maana hizi namba za MAGARI NI ZA BANDIA? Je,Police wanahitaji SIKU NGAPI KUJUA GARI NAMBA FULANI LIKO WAPI KWELI??????????

Kwa Greal Thinkers hizi habari ZINAUKWELI KWA NAMNA FULANI. Mimi naamini kuwa plot ya kumwangamiza Dr.Mwakyembe na wengine waliotajwa kwenye list kama Dr. Slaa zina ukweli. Naamini kuna watu ndani ya CCM na Serikali yake HAWALALI USINGIZI KWASABABU YA MISIMAMO YA KINA DR. SLAA,MWAKYEMBE,na wale wote ambao NI TISHIO KWA NAMNA MOJA AU NYINGINE KWENYE KINYANG'ANYIRO CHA URAHISI-2015!!!

Ni mtu mpuuzi na mjinga tu anaweza kupingana na ukweli huu. Kwa wale wanaobisha au kupuuza haya maneno,there is a day watakuja kuamini kuwa ni habari za ukweli but it will be too late!!!

Hivi watu wanategemea nini kutoka kwa mtu kama RA,EL,AC(Mzee wa vijisenti). These guys are very dangerous,they can kill or do anything for the sake of their own benefits.
 

Hivi wewe unadhani pesa wanazo pata kuendeshea mission zao wanatoa wapi?,hao ndio wanao itwa maharamia wa kisomali watekaji wa meli na watalii huko kenya,then wana demand madola
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…