Dr.Mwakyembe jinai huwa inakufa?

Dr.Mwakyembe jinai huwa inakufa?

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
52,167
Reaction score
162,602
Kwakweli tumefanywa wajinga na hawa watu sidhani kama wanastahili kuendelea kubaki madarakani.

Tangu lini kosa la jinai likafa?

Jinai ina-expire imekuwa bidhaa?!

Tuhuma nyingi za ufisadi nchi hii zote zimeyeyuka mpaka mahakama ya mafisadi ikose kazi?

Mabadiliko ya kweli nchi hii yataanza siku ile ambayo CCM inaondoka madarakani.

"Politics is everything but everything is not politics and making everything politics amount to make everything a failure"

Mahakama ya Mafisadi is already another failure.

Katika hili hawa jamaa hawajabadili gia wakiwa angani bali wamebadili gearbox kabisa!
 
Dawa yenu inachemka ikiiva mkaanza kushughulikiwa msilalamike katiba haifuatwi. Maana tokea mumpokee mmegeuka kuwa watetezi wa mafisadi.
 
Mwenyewe anakuambia kutokuwa na wateja kwenye mahakama hiyo ni mafanikio kwa sababu watu hawaibi tena kwa kiwango cha bilioni moja kwenda mbele ,wanaiba kwa kiwango cha milioni 400 na watajitahidi kiwango hicho kishuke zaidi

Wakati wa Sakata la Richmond hapa kwenye uchaguzi alisema Jinai haina mwisho ,Leo mahakama ya mafisadi ina kesi moja dah ..Lowasa si Fisadi na yeye na tume yake ndie walisema hivyo anasubiri nini kumpeleka mahakamani ?
 
Dawa yenu inachemka ikiiva mkaanza kushughulikiwa msilalamike katiba haifuatwi. Maana tokea mumpokee mmegeuka kuwa watetezi wa mafisadi.
Mbona hashitakiwi ? Mi ningependa ashitakiwe ili tujue yaliyojificha chini ya sakata la Richmond... Kama wale wenye rangi ya mchicha hamjaanza kukimbizana...
 
Dawa yenu inachemka ikiiva mkaanza kushughulikiwa msilalamike katiba haifuatwi. Maana tokea mumpokee mmegeuka kuwa watetezi wa mafisadi.
Ngonjera lile lile, mnachofanya sahivi ni kubadili, alama za nukta na kuuliza kwenye maandishi hayo hayo.
Na muendelee kuwa makini, maana kitu kikichemka sana kinaungua na kukaukia.
 
Mwenyewe anakuambia kutokuwa na wateja kwenye mahakama hiyo ni mafanikio kwa sababu watu hawaibi tena kwa kiwango cha bilioni moja kwenda mbele ,wanaiba kwa kiwango cha milioni 400 na watajitahidi kiwango hicho kishuke zaidi

Wakati wa Sakata la Richmond hapa kwenye uchaguzi alisema Jinai haina mwisho ,Leo mahakama ya mafisadi ina kesi moja dah ..Lowasa si Fisadi na yeye na tume yake ndie walisema hivyo anasubiri nini kumpeleka mahakamani ?
Wanakera sana hawa watu.
 
Kwakweli tumefanywa wajinga na hawa watu sidhani kama wanastahili kuendelea kubaki madarakani.

Tangu lini kosa la jinai likafa?

Jinai ina-expire imekuwa bidhaa?!

Mabadiliko ya kweli nchi hii yataanza siku ile ambayo CCM inaondoka madarakani.

"Politics is everything but everything is not politics and making everything politics amount to make everything a failure"

Mahakama ya Mafisadi is already another failure.
Mkuu kayanena wapi haya?
 
kwan lowasa sio fisadi? mbona wamemchafulia hal ya hewa huku vjjn make ukimwongelea lowasa ktk vjiwe wazee wanakuambia we mtoto fisad yule 2mchague cc bora 2bak na ccm ye2,kama kwel huyu dr kaongea hl basi wamwombe radh ndg lowasa make huku vijjn hawamwelew kabisa na sumu walio imwaga ccm cha cdm kuptia lowasa make wamemshupalia sana! n kwel hakuna kes ya mafisad wahusika wa richmond,escrow,lugumi,rada nk hawajapelekwa au ndo kwa ajil ya dagaa kama cc makabwela ukiiba kuku unakula mvua thirty yrs il iwefundisho?
 
Kuna siku Mwakyembe atafungwa kwa kulitia hasara taifa kutokana na uongo wake , nyie mwacheni tu .
 
kwan lowasa sio fisadi? mbona wamemchafulia hal ya hewa huku vjjn make ukimwongelea lowasa ktk vjiwe wazee wanakuambia we mtoto fisad yule 2mchague cc bora 2bak na ccm ye2,kama kwel huyu dr kaongea hl basi wamwombe radh ndg lowasa make huku vijjn hawamwelew kabisa na sumu walio imwaga ccm cha cdm kuptia lowasa make wamemshupalia sana! n kwel hakuna kes ya mafisad wahusika wa richmond,escrow,lugumi,rada nk hawajapelekwa au ndo kwa ajil ya dagaa kama cc makabwela ukiiba kuku unakula mvua thirty yrs il iwefundisho?
hapa nimeisoma namba
 
Dawa yenu inachemka ikiiva mkaanza kushughulikiwa msilalamike katiba haifuatwi. Maana tokea mumpokee mmegeuka kuwa watetezi wa mafisadi.
Umemwelewa mleta mada kweli!?!?
 
ndg offline user,nadhan kunamahala upinzan unafanya makosa sana,mf.mwakajana walikuwa wanachukua nch kiulain sana kama 2 combination ya wabunge wale machachali wangemsapoti lowasa,ukimya wa Mnyika,mdee na kubak majimbon mwao il hal mzee lowasa alisha kuwa na shombo kuptia wao kulilela madhira ya sinto faham hvyo kadr siku zinavyokwenda ukwel hujionesha kuwa yule mzee alikuwa kiongoz mkuu serikaln hvyo zigo lilikuwa lake kilichopasika n kutengeneza hoja za kupangua shombo alizopakwa na upinzan na kuusema ukweli kwa nn walimwambia fisadi,lkn pia hawakupaswa kukaa kimya kuongelea suala la ufisad ulokithr ndan ya ccm nae EL ndo angekuwa anamalizia kujisafisha lkn mpaka leo h kunamsito fulan wa kulisemea suala la ufisad huku bush 2najitahd sana kutoa elimu kwa wazee walofia ccm lkn kunavkwazo kwa kiasi flan! ile speed ya mzee EL ndo inayo2saidia kuwatoa maporin lkn bado!
 
Back
Top Bottom