Dr. Mathayo David Mathayo: Serikali ni Nani?

Dr. Mathayo David Mathayo: Serikali ni Nani?

dudus

JF-Expert Member
Joined
Feb 28, 2011
Posts
24,688
Reaction score
56,423
Wakuu Salaam.

Akijitetea mbele ya Bunge kwa nini hastahili kulaumiwa au kufukuzwa uwaziri wake kwa kadhia iliyotokana na Operesheni Tokomeza, pamoja na mambo mengine ikiwamo kutumia nukuu za kidini, Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Dr. Mathayo David Mathayo alitumia muda mwingi kuilamu "Serikali" kwa kushindwa kutoa mafungu ya kutosha kwa wizara yake hali ambayo iliifanya wizara kushindwa kutimiza malengo mengi ambayo yaliripotiwa na Kamati ya Lembeli kama chanzo kilichosababisha madhila kwa wananchi wakati wa Operesheni Tokomeza. Ikumbukwe baadhi ya madhila hayo ni pamoja na:-

(i) Wananchi kuzinishwa na miti (kidogo hili linanipa utata).
(ii) Wananchi kuuwawa na walioendesha operesheni hiyo.
(iii) Ndugu kulazimishwa kuingiliana hadharani na mafedhuli walioendesha operesheni husika.
(iv) Wananchi kuporwa mali zao - mifugo, mazao, fedha, n.k.

Tunaomba wataalamu wa Katiba na Sayansi ya Siasa watusaidie kwanza Serikali ni nini; pili kama waziri ni au sio sehemu ya Serikali na tatu kama ilikuwa sahihi kwa Waziri kuilamu Serikali. Waziri alipaswa kufanya nini zaidi ya aliyoyafanya (sababu alizozitoa wakati akijitetea)? Je, utetezi wake ulikuwa na hoja au pumba? Kama alikuwa na hoja ilikuwa sahihi kwa mamlaka ya uteuzi kutengua uteuzi wake kwa mtindo ule?
 
Alipoingia alitumia sana muda mwingi kuwabeza na kuwadharau wapare wenzie waliomchagua kuwa hawajasoma na wapuuzi,na kuipenda serikali kw akumfanya tofauti baada ya wananchi kumpa ridhaa..sasa anailaumu.

Mathayo ni mojawapo ya wapare na wana CCM wengine km Maghembe ambao baad aya kupewa nafsi na wapiga kura ili walete mabadiliko wakaamua kuwatukana na kujiona kuwa elimu na juhudi zao ndio zimewafikisha mungueni ktk wizwara za serikali.
 
Alipoingia alitumia sana muda mwingi kuwabeza na kuwadharau wapare wenzie waliomchagua kuwa hawajasoma na wapuuzi,na kuipenda serikali kw akumfanya tofauti baada ya wananchi kumpa ridhaa..sasa anailaumu.

Mathayo ni mojawapo ya wapare na wana CCM wengine km Maghembe ambao baad aya kupewa nafsi na wapiga kura ili walete mabadiliko wakaamua kuwatukana na kujiona kuwa elimu na juhudi zao ndio zimewafikisha mungueni ktk wizwara za serikali.

Mkuu hao ni wasomi wasioelimika salsa wajue tu sio uwaziri hata ubunge ndo mwsho hapo.
 
Alipoingia alitumia sana muda mwingi kuwabeza na kuwadharau wapare wenzie waliomchagua kuwa hawajasoma na wapuuzi,na kuipenda serikali kw akumfanya tofauti baada ya wananchi kumpa ridhaa..sasa anailaumu.

Mathayo ni mojawapo ya wapare na wana CCM wengine km Maghembe ambao baad aya kupewa nafsi na wapiga kura ili walete mabadiliko wakaamua kuwatukana na kujiona kuwa elimu na juhudi zao ndio zimewafikisha mungueni ktk wizwara za serikali.


Sawa Mkuu. Lakini pamoja na dharau zake kwa waliomchagua; je, utetezi wake Bungeni kwamba Serikali "imemwangusha" kwa kutoipa wizara yake mafungu ya kutosha ni sahihi? Yeye kama waziri hakuwa sehemu ya serikali? Alipaswa kuilaumu serikali? Serikali ni nini au nani? Kidogo nashindwa kuelewa.
 
Sawa Mkuu. Lakini pamoja na dharau zake kwa waliomchagua; je, utetezi wake Bungeni kwamba Serikali "imemwangusha" kwa kutoipa wizara yake mafungu ya kutosha ni sahihi? Yeye kama waziri hakuwa sehemu ya serikali? Alipaswa kuilaumu serikali? Serikali ni nini au nani? Kidogo nashindwa kuelewa.

Alipoteza sana muda kuwaonyesha wapare yeye ni nani.Ndio maana hakuona hayo mapema kupambana na hayo.
 
Mathayo kosa lake ni kushindwa kujihudhuru wakati anapanga mipango harafu hapewi pesa, inaonekana alikuwa anatafutwa siku mingi, ndo maana rais aligandamizia hapo hapo kuwa awemo tu japo hana hatia. Mwenye hatia hapo ni Prof. Tibaijuka ila sijui anawasaidia nini serikali au sijui wapi.
 
Kimsingi alitakiwa ajiuzulu mara baada ya Serikali (Sijui kama yeye sio sehemu yake) kumpatia fungu dogo ambalo angeshindwa kutekeleza majukumu yake.
Pia natatizika sana ku relate fungu dogo alilopewa na Unyama uliofanywa kwenye hiyo operation ambayo kimsingi ndo imemchomoa madarakani.
My take.
Huyu jamaa ni Kilaza Period when it come to Politics..
Its not true that kila msomi anaweza kuwa a Good Politician...
 
Mathayo kosa lake ni kushindwa kujihudhuru wakati anapanga mipango harafu hapewi pesa, inaonekana alikuwa anatafutwa siku mingi, ndo maana rais aligandamizia hapo hapo kuwa awemo tu japo hana hatia. Mwenye hatia hapo ni Prof. Tibaijuka ila sijui anawasaidia nini serikali au sijui wapi.


Bwa ha ha ha ha! Kweli magamba ni nouma. Mkulu akagandamizia pale pale japo hana hatia must go! Dah! Kuna wale wajinga wengine akina Kapuya wanaojinasibu eti "serikali ndio sisi". Bado hii dhana ya "Serikali ni nani" inaonekana wengi wetu hatuijui wakiwemo maprofesa akina Kapuya.
 
Kimsingi alitakiwa ajiuzulu mara baada ya Serikali (Sijui kama yeye sio sehemu yake) kumpatia fungu dogo ambalo angeshindwa kutekeleza majukumu yake.
Pia natatizika sana ku relate fungu dogo alilopewa na Unyama uliofanywa kwenye hiyo operation ambayo kimsingi ndo imemchomoa madarakani.
My take.
Huyu jamaa ni Kilaza Period when it come to Politics..
Its not true that kila msomi anaweza kuwa a Good Politician...

Hapo kwenye bluu; kimsingi ndivyo utawala wa kidemokrasia unaojali maslahi ya wengi na uwajibikaji unavyopaswa kuwa. Umenyimwa fungu ili uweze kutekeleza majumu yako unapaswa ku-step down soon. Hapo kwenye red; inaonekana hata maana ya Serikali haielewi. Eti serikali imeninyima fedha ilhali wewe ni waziri katika serikali hiyo hiyo! Very interesting!
 
Hapo kwenye bluu; kimsingi ndivyo utawala wa kidemokrasia unaojali maslahi ya wengi na uwajibikaji unavyopaswa kuwa. Umenyimwa fungu ili uweze kutekeleza majumu yako unapaswa ku-step down soon. Hapo kwenye red; inaonekana hata maana ya Serikali haielewi. Eti serikali imeninyima fedha ilhali wewe ni waziri katika serikali hiyo hiyo! Very interesting!

Huyu jamaa sidhan hata kwenye Baraza la Mawaziri anachangiaga kitu.
Looks like yeye ilimradi siku zina songa kwake ni poa tu.
Hata the way anavyoongeaga Bungeni.
Natatizika sana na Vigezo alivyotumia JK kumpa huyu kilaza Wizara.
 
Collective responsibility. Pili kujitetea kumemwangusha. Kutumia neno la Mungu kwa faida yake kumemponza. Angekumbuka. Kauze ulivyonavyo wape maskini kisha unifuate. Usifikiri cha kusema roho wa Mungu yupo kukutetea. Alijipanga kabla. Hilo ni tatizo
 
Nakumbuka hata Karamagi nae alijifananishaga na Yesu.
Kama kweli kuna Moto basi hawa jamaa moto wao utakuwa ni wa kipekee sana aisee...
 
Wakuu Salaam.

Akijitetea mbele ya Bunge kwa nini hastahili kulaumiwa au kufukuzwa uwaziri wake kwa kadhia iliyotokana na Operesheni Tokomeza, pamoja na mambo mengine ikiwamo kutumia nukuu za kidini, Waziri wa Kilimo na Mifugo, Dr. Mathayo David Mathayo alitumia muda mwingi kuilamu "Serikali" kwa kushindwa kutoa mafungu ya kutosha kwa wizara yake hali ambayo iliifanya wizara kushindwa kutimiza malengo mengi ambayo yaliripotiwa na Kamati ya Lembeli.

MKUU ''WIZARA YA KILIMO NA MIFUGO NDO IPI HIYO...?'' Mbona hakuna Wizara wala Waziri aliyejiuzuru?
 
Wakuu Salaam.

Akijitetea mbele ya Bunge kwa nini hastahili kulaumiwa au kufukuzwa uwaziri wake kwa kadhia iliyotokana na Operesheni Tokomeza, pamoja na mambo mengine ikiwamo kutumia nukuu za kidini, Waziri wa Kilimo na Mifugo, Dr. Mathayo David Mathayo alitumia muda mwingi kuilamu "Serikali" kwa kushindwa kutoa mafungu ya kutosha kwa wizara yake hali ambayo iliifanya wizara kushindwa kutimiza malengo mengi ambayo yaliripotiwa na Kamati ya Lembeli kama chanzo kilichosababisha madhila kwa wananchi wakati wa Operesheni Tokomeza. Ikumbukwe baadhi ya madhila hayo ni pamoja na:-

(i) Wananchi kuzinishwa na miti (kidogo hili linanipa utata).
(ii) Wananchi kuuwawa na walioendesha operesheni hiyo.
(iii) Ndugu kulazimishwa kuingiliana hadharani na mafedhuli walioendesha operesheni husika.
(iv) Wananchi kuporwa mali zao - mifugo, mazao, fedha, n.k.

Tunaomba wataalamu wa Katiba na Sayansi ya Siasa watusaidie kwanza Serikali ni nini; pili kama waziri ni au sio sehemu ya Serikali na tatu kama ilikuwa sahihi kwa Waziri kuilamu Serikali. Waziri alipaswa kufanya nini zaidi ya aliyoyafanya (sababu alizozitoa wakati akijitetea)? Je, utetezi wake ulikuwa na hoja au pumba? Kama alikuwa na hoja ilikuwa sahihi kwa mamlaka ya uteuzi kutengua uteuzi wake kwa mtindo ule?


Mawaziri ndiyo serikali yenyewe. Matayo ni mmojawapo wa mawaziri wanaoamini kuwa kuwa waziri kazi yako ni kuja kuchukuliwa na shangingi asubuhi na kurudishwa nyumbani jioni na kuhudhuria vikao hata kama huna cha kuongea.
 
Huyu jamaa bure kabisa

Tena bure kwelikweli.
Kwani waziri si sehemu ya serikali? Yeye akiwa waziri alikuwa ni serikali yenyewe, alikuwa na maamuzi ua kutekeleza wajibu wake. Aache kulalamika
 
Kimsingi alitakiwa ajiuzulu mara baada ya Serikali (Sijui kama yeye sio sehemu yake) kumpatia fungu dogo ambalo angeshindwa kutekeleza majukumu yake.
Pia natatizika sana ku relate fungu dogo alilopewa na Unyama uliofanywa kwenye hiyo operation ambayo kimsingi ndo imemchomoa madarakani.
My take.
Huyu jamaa ni Kilaza Period when it come to Politics..
Its not true that kila msomi anaweza kuwa a Good Politician...

wewe ukiwa waziri ukapewa fungu dogo wakati perdiem zako plus mshahara wako upo pale pale unaweza kujiuzuru?
 
Tukiacha ile definition ya watu walioshindwa kufikiri ambao wanasema kwamba SERIKALI ni mimi, wewe na yule yaani eti wananchi wote ni SERIKALI (SIC!)

In a nutshell SERIKALI ni viongozi wote wa CCM waliochaguliwa kwa kura! (OPARETING WORD KUCHAGULIWA KWA KURA). Hivyo basi Serikali ni Wenyeviti wa mitaa/vitogonji, Madiwani, Wabunge (ambao kwa katiba yetu ndio mawaziri), Makamu wa Rais na RAIS mwenyewe. Hawa ndiyo SERIKALI. Kwani baada ya kuchagauliwa kwa KURA, Hupewa ridhaa ya KUUNDA SERIKALI. Ndiyo maana utasikia serikali sikivu ya CCM. Kwasababu CCM ndiyo imepewa ridhaa ya kuunda SERIKALI.

Hivyo Mapolisi, waalimu, madaktari, wanajeshi, mainjinia, wanasheria (hakimu, majaji etc) Mabwana shamba/kilimo, maafisa ugani, wahasibu, you mention it ni watu walioajiriwa au walikodiwa KUISADIA SERIKALI kutimiza malengo/sera zake ilizojiwekewa.

Hivyo kutokana na definition hiyo Mathayo David Mathayo alikuwa party ya serikali, tena kiongozi Mkubwa wa serikali, kwanza kama MBUNGE wa CCM na Pia kama Waziri wa CCM chama kilichopewa ridhaa na Watanzania kuunda SERIKALI.

Hivyo UTETEZI wake kwamba SERIKALI haikumpatia pesa kutimiza majukumu yake it doesn't hold water. Ni utetezi wa kipumba.fu because alitakiwa ajiuzuru kama alihisi pesa aliyopewa haitoshelezi kutimiza majukumu yake!

PS: Kwa Zanzibar SERIKALI ni viongozi wote wa kuchaguliwa wa CCM na CUF. Ndiyo maana inaitwa SUK.
 
Tukiacha ile definition ya watu walioshindwa kufikiri ambao wanasema kwamba SERIKALI ni mimi, wewe na yule yaani eti wananchi wote ni SERIKALI (SIC!)

In a nutshell SERIKALI ni viongozi wote wa CCM waliochaguliwa kwa kura! (OPARETING WORD KUCHAGULIWA KWA KURA). Hivyo basi Serikali ni Wenyeviti wa mitaa/vitogonji, Madiwani, Wabunge (ambao kwa katiba yetu ndio mawaziri), Makamu wa Rais na RAIS mwenyewe. Hawa ndiyo SERIKALI. Kwani baada ya kuchagauliwa kwa KURA, Hupewa ridhaa ya KUUNDA SERIKALI. Ndiyo maana utasikia serikali sikivu ya CCM. Kwasababu CCM ndiyo imepewa ridhaa ya kuunda SERIKALI.

Hivyo Mapolisi, waalimu, madaktari, wanajeshi, mainjinia, wanasheria (hakimu, majaji etc) Mabwana shamba/kilimo, maafisa ugani, wahasibu, you mention it ni watu walioajiriwa au walikodiwa KUISADIA SERIKALI kutimiza malengo/sera zake ilizojiwekewa.

Hivyo kutokana na definition hiyo Mathayo David Mathayo alikuwa party ya serikali, tena kiongozi Mkubwa wa serikali, kwanza kama MBUNGE wa CCM na Pia kama Waziri wa CCM chama kilichopewa ridhaa na Watanzania kuunda SERIKALI.

Hivyo UTETEZI wake kwamba SERIKALI haikumpatia pesa kutimiza majukumu yake it doesn't hold water. Ni utetezi wa kipumba.fu because alitakiwa ajiuzuru kama alihisi pesa aliyopewa haitoshelezi kutimiza majukumu yake!

PS: Kwa Zanzibar SERIKALI ni viongozi wote wa kuchaguliwa wa CCM na CUF. Ndiyo maana inaitwa SUK.


Asante Mkuu kwa ufafanuzi murua ingawa nijuavyo mafungu hutolewa na Hazina. Sasa kama hakupewa hayo mafungu angefanyaje? In fact aliliuliza Bunge walitegemea akatoe pesa kwenye akaunti yake kwa shughuli za Serikali?

Hapo kwenye red, unadhani kujiuzulu ndio ingekuwa mwarobaini? Sana sana huoni ingekuwa "kumwangusha" aliyemteua pamoja na chama chake? Nadhani hii ndio fikra ya walio wengi huko chamani na serikalini.
 
Back
Top Bottom