ruston8919
Member
- Mar 31, 2012
- 68
- 14
jumapili hii MARY NAGU alikuwa mgeni rasmi kwa ajili pia ya kuwaaga wahitimu mbalimbali, katika kumkaribisha ASKOFU ALISEMA MAMA HUYO NI MTU SAFI NA MWADILIFU NA MCHAPA KAZI kwa kuwa amejumuishwa katika baraza jipya la mawaziri wa JK, JE NI KWELI AU ASKOFU ALIKUWA ANAWEKA CHUKU????????????????????????????