Watu hawakumuhesabia kama mkombozi japo walimuona kama mkombozi. Ni mmoja kati ya mawaziri wachache sana alie kuwa muwadilifu na mchapa kazi. Hakuwa bora waziri ila waziri aliyeenda field na kuikagua kazi ya ujenzi wa taifa.
Ni waziri aliyependa utani ila sio utani wa kazi. Ktk wizara zote ameongoza alisifika ktk kuzijua takwimu wakati fulani akiwa waziri wa wizara fulani alikariri mpaka watoto wa samaki ktk maziwa na bahari.
Jakaya Kikwete alimpenda sana japo hakuwahi kuonyesha upendo wake watu wakajua japo wakati fulani mama wa Magufuli aliwahi onekana akiteta jambo na J. K huko kwao.
Mara kwa Mara Rais Kikwete alionekana akicheka sana hasa pale Magufuli akisoma taarifa na takwimu za madaraja. Wakati wa kikao cha mwisho wa bunge mwaka 2015 Anna Makinda spika wa Bunge la Jamuhuri ya Muungano aliwapa wabunge nafasi ya kumpiga maswali vile wapendavyo na Magufuli aliyajibu yote bila kupata kigugumizi.
Tarehe 29/10/2015 ambayo ametangwa Rais wa Tanzania ndio tarehe aliyotoka tumboni mwa mama yake.Magufuli ni mcha Mungu na inasemekana amewahi mjengea Mungu kanisa.
Pamoja na kuitwa fisadi just kwa kutekeleza amri halali ya baraza la mawaziri kuuza nyumba za serikali, hajawahi kuonekana akiwasema vibaya walio kuwa viongozi wake.
Ni mwalimu wa hisabati na hisabati haina njia mkato aliwahi watania watu wapige mbizi japo hakumaanisha. Ni mtu anayefuata sheria kiasi,alishawahi pingana na bosi wake waziri mkuu juu ya kuruhusu magari ya uzito mkubwa kuharibu barabara. Amewahi piga push ups mbele ya watanzania wakati wa kampeni jambo halijawahi fanywa na mgombea yeyote.
Kwa wazalendo wengi wa Tanzania wanamchukulia kama Joshua wao wa kuwafikisha nchi ya ahadi japo kwa wangine wanaona hamna jipya.
Anasifika kwa kusoma na kupitia makabrasha, wakati fulani alimfukuza contractor wa barabara kwa kuandika report ya uongo. Kwa miongo yote amekuwa waziri miundo mbinu hakuwahi tokea waziri wa aina yake na haijulikani nani atakuja baada yake.
Ktk macho ya kisiasa wengi walitamani awe waziri mkuu jambo ambalo halikuwatokea mpaka anateuliwa kuwa Rais tarehe 29/10/2015.
Kuna wakati afya yake ilileta huzuni kwa watanzania wengi ila uchaguzi huu umeonesha yupo imara kuendesha taifa hili even 10 year. Ana amri moja nenda nenda na rudi rudi, hana mzaa na kazi ndio maana anaitwa tinga tinga.
Amevunja record ya kuirudisha Mwanza yote CCM. Inategemewa kwamba uenda siku ya kuapishwa kwake kukawa na ma elfu ya watu kumsindikiza.
Ujio wake umewafanya wavivu wengi ndani ya serikali kuanza kubadili tabia.
Upo uwezekano mkubwa siku za urais wake zikawa siku za hayati baba wa taifa. Pamoja na kejeli na dharau zote mahasimu wake wanamjua ni mtendaji na hana mchezo na kazi.
Ni waziri aliyependa utani ila sio utani wa kazi. Ktk wizara zote ameongoza alisifika ktk kuzijua takwimu wakati fulani akiwa waziri wa wizara fulani alikariri mpaka watoto wa samaki ktk maziwa na bahari.
Jakaya Kikwete alimpenda sana japo hakuwahi kuonyesha upendo wake watu wakajua japo wakati fulani mama wa Magufuli aliwahi onekana akiteta jambo na J. K huko kwao.
Mara kwa Mara Rais Kikwete alionekana akicheka sana hasa pale Magufuli akisoma taarifa na takwimu za madaraja. Wakati wa kikao cha mwisho wa bunge mwaka 2015 Anna Makinda spika wa Bunge la Jamuhuri ya Muungano aliwapa wabunge nafasi ya kumpiga maswali vile wapendavyo na Magufuli aliyajibu yote bila kupata kigugumizi.
Tarehe 29/10/2015 ambayo ametangwa Rais wa Tanzania ndio tarehe aliyotoka tumboni mwa mama yake.Magufuli ni mcha Mungu na inasemekana amewahi mjengea Mungu kanisa.
Pamoja na kuitwa fisadi just kwa kutekeleza amri halali ya baraza la mawaziri kuuza nyumba za serikali, hajawahi kuonekana akiwasema vibaya walio kuwa viongozi wake.
Ni mwalimu wa hisabati na hisabati haina njia mkato aliwahi watania watu wapige mbizi japo hakumaanisha. Ni mtu anayefuata sheria kiasi,alishawahi pingana na bosi wake waziri mkuu juu ya kuruhusu magari ya uzito mkubwa kuharibu barabara. Amewahi piga push ups mbele ya watanzania wakati wa kampeni jambo halijawahi fanywa na mgombea yeyote.
Kwa wazalendo wengi wa Tanzania wanamchukulia kama Joshua wao wa kuwafikisha nchi ya ahadi japo kwa wangine wanaona hamna jipya.
Anasifika kwa kusoma na kupitia makabrasha, wakati fulani alimfukuza contractor wa barabara kwa kuandika report ya uongo. Kwa miongo yote amekuwa waziri miundo mbinu hakuwahi tokea waziri wa aina yake na haijulikani nani atakuja baada yake.
Ktk macho ya kisiasa wengi walitamani awe waziri mkuu jambo ambalo halikuwatokea mpaka anateuliwa kuwa Rais tarehe 29/10/2015.
Kuna wakati afya yake ilileta huzuni kwa watanzania wengi ila uchaguzi huu umeonesha yupo imara kuendesha taifa hili even 10 year. Ana amri moja nenda nenda na rudi rudi, hana mzaa na kazi ndio maana anaitwa tinga tinga.
Amevunja record ya kuirudisha Mwanza yote CCM. Inategemewa kwamba uenda siku ya kuapishwa kwake kukawa na ma elfu ya watu kumsindikiza.
Ujio wake umewafanya wavivu wengi ndani ya serikali kuanza kubadili tabia.
Upo uwezekano mkubwa siku za urais wake zikawa siku za hayati baba wa taifa. Pamoja na kejeli na dharau zote mahasimu wake wanamjua ni mtendaji na hana mchezo na kazi.