Mkuu naomba kuuliza 'sasa na wazazi wetu wa kiume tunakosea kuwaita baba'Mimi sina shaka na cheo chake cha Uaskofu ninachokataa nikumuita Baba wakati Biblia inakataza,naweka ushahidi kwa lugha mbili.....
Wala msimwite mtu baba duniani; maana Baba yenu ni mmoja, aliye wa mbinguni.
And call no man your father upon the earth: for one is your Father, which is in heaven.
Kumbe unaangalia chama kinachoongoza[emoji23]Hahahaa...!!!!... Kasome sheria ya vyama vya siasa uone kama chama dume kinaweza kufutiwa usajili halafu eti " makanisa" yote wewe inaelekea umelewa mbege!
Watu wengine mnashangaza sana.Mimi sina shaka na cheo chake cha Uaskofu ninachokataa nikumuita Baba wakati Biblia inakataza,naweka ushahidi kwa lugha mbili.....
Wala msimwite mtu baba duniani; maana Baba yenu ni mmoja, aliye wa mbinguni.
And call no man your father upon the earth: for one is your Father, which is in heaven.
Hoviyooooo[emoji196] [emoji83] [emoji61] [emoji90] [emoji379]Umeshapanic! Ujiulizi kwanini TRA wanajiendea tu pale kukagua au kwanini Chikawe alitishia kuxifutilia mbali hizi huduma?....ni kwa sababu zimesajiliwa kwa penseli!
Mkuu toa ushaidi hoja upingwa na hoja,kumbuka asira ukaa vifuani mwa wapumbavu.Watu wengine mnashangaza sana.
Unairejelea biblia kukataa kumwita Kakobe baba...wakati huo huo kuna mtu aliyekuzaa unamwita baba, na wala hujiulizi bibliw inasema nin kuhusu hilo...
Ila kwa kakobe ndio nongwa[emoji23]
Askofu Kakobe ni mjumbe wa Jumuiya ya Makanisa ya Kipentekoste Tanzania (CPCT)Atakuwa mjumbe wa baraza la maaskofu Tanzania!!!! Baraza gani hilo mkuu, mbona hilo jukwaa silifahamu? Mimi najua TEC ( Tanzania Episcopal Conference) ambalo ni jukwaa linalowakutanisha maaskofu wa majimbo yote Tanzania kwa wakatoliki, kama kuna jukwaa ambalo Askofu Kakobe , askofu gwajima etc ni wajumbe wake hebu tujuzane.
Ni mpumbavu pekee anayeweza kukasirika kwenye mjadala.Mkuu toa ushaidi hoja upingwa na hoja,kumbuka asira ukaa vifuani mwa wapumbavu.
Wala msimwite mtu baba duniani; maana Baba yenu ni mmoja, aliye wa mbinguni.Askofu Kakobe ni mjumbe wa Jumuiya ya Makanisa ya Kipentekoste Tanzania (CPCT)
Na wajumbe wa jumuiya hii ni viongozi wakuu wa makanisa ya kipentekoste ambao wengine wanaitwa ASKOFU fulani (mfano askofu Fernandez wa Agape)
Ndio maana nilisema hata iweje, kakobe ataendelea kuitwa Askofu, na kwa heshima ya kiongozi wa dini mweny wadhifa wa askofu, waumini wake humwita Baba Askofu.
Tunaona hata wachungaji wa matawi ya hayo makanisa wanaitwa na waumini wao Baba Mchungaji
Hao waliokaririshwa bikira Maria kapaishwa mbinguni?[emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] komuniooo.
Awa wakatoliki kwenye neno LA Mungu wako 0[emoji40] wao wameshika mapokeo ya mapadri hawajui kuwa kwenye Biblia ata neno padri halimo.Wakati mwingine utamani kuwaita mawakala wa shetani.Wakatubuu tu hakuna namna.[emoji36]
Unajua hakuna mtoto anayezaliwa paspo ushirika wa Mungu kwaiyo Baba yako mzazi ana ushirika na Mungu kwahiyo baba mzazi anamwakilisha Baba wa mbinguni.Ndomaana Mungu asipotaka uitwe baba anakunyima mtoto.Nadhani tumeelewana mkuu.Wala msimwite mtu baba duniani; maana Baba yenu ni mmoja, aliye wa mbinguni.
And call no man your father upon the earth: for one is your Father, which is in heaven.
Kakobe nani? Hao ma baba zako huteuliwa nanani?Kakobe siyo " Baba Askofu", sahihisha kwanza ndipo tujadili hilo neno ulilohubiriwa leo!
Na kuna mwingine haitwi tu baba, bali baba mtakatifu na husikii akisemwaWatu wengine mnashangaza sana.
Unairejelea biblia kukataa kumwita Kakobe baba...wakati huo huo kuna mtu aliyekuzaa unamwita baba, na wala hujiulizi bibliw inasema nin kuhusu hilo...
Ila kwa kakobe ndio nongwa[emoji23]
Nini tafsiri ya neno Askofu? Ukishajua njoo uendelee kubishana!Hilo daraja la Askofu alilipata wapi, alipewa kwa utaratibu gani na aliwekewa mikono na nani?!!!......Na tena ni mjumbe wa baraza gani la maaskofu?!! Karibu.
Una matatizo kutosoma biblia na kulishwa maneno na warumi una hasara ya ujinga wa mambo ya rohoniHilo daraja la Askofu alilipata wapi, alipewa kwa utaratibu gani na aliwekewa mikono na nani?!!!......Na tena ni mjumbe wa baraza gani la maaskofu?!! Karibu.
Hakuna mtu aliyeumbwa na Mungu jina lake Eva.
Hapa nd unaonesha jins gani umekaririshwa na katekista wako.
Mwanamke aliyeumbwa hapa duniani ni Hawa pekee, wengine wote walizaliwa.
Na hiyo Mwanzo unayosema, hakuna mtu anaitwa Eva aliyeumbwa kwa ajili ya Adam.
Rudi kafanye mafundisho ya komonio[emoji6]
Hapo sawa! Mimi sikuwa na shida na uaskofi wa Bishop Zacharia Kakobe namjua kama askofu na namuheshimu sana kama askofu. Nilitaka tu uweke hapo sawa na umeiweka vilivyoAskofu Kakobe ni mjumbe wa Jumuiya ya Makanisa ya Kipentekoste Tanzania (CPCT)
Na wajumbe wa jumuiya hii ni viongozi wakuu wa makanisa ya kipentekoste ambao wengine wanaitwa ASKOFU fulani (mfano askofu Fernandez wa Agape)
Ndio maana nilisema hata iweje, kakobe ataendelea kuitwa Askofu, na kwa heshima ya kiongozi wa dini mweny wadhifa wa askofu, waumini wake humwita Baba Askofu.
Tunaona hata wachungaji wa matawi ya hayo makanisa wanaitwa na waumini wao Baba Mchungaji
Hujajibu swali?.... Kakobe Zakaria aka mzee wa Edition Mulanga studio ana Kanisa?Hata Catholic, Lutheran, Moravian, Anglican, Jehovah Witness, Jeshi la wokovu nk nk, zote hizo ni NGOs tu za kiimani zenye kutoa huduma za kiroho!!
Tofauti hapa ni ukubwa, ukongwe na Asili ya kila NGO. Kama ulikuwa huelewi hilo, then it's your golden opportunity to put that in your head, dude.... Right!?
Na by the way, ndiyo maana nilikutaka utumie akili yako huru kujielimisha na kujisomea na si kupokea na kukaririshwa tu mkubwa na kuja kumwaga upupu wako humu!!
Biblia ni neno la kiswahili.Joseph, Yusuph, Yusuf, Yozef ni jina moja ni lugha tu na namna ya kuandika ndo tofauti. Usikariri kijana, elewa.
Nimekuambia kasome sheria ya vyama vya siasa halafu uje utuambie kama CCM ilisajiliwa!!!!....acha kukariri!Kumbe unaangalia chama kinachoongoza[emoji23]
Basi akili yako inakutosha wew mwenyewe.
Dalili za kuishiwa hoja!Hoviyooooo[emoji196] [emoji83] [emoji61] [emoji90] [emoji379]