kaka unataka wakuue?Wakimuua sisi mashahidi, hawatakuwa na pa kutokea!
Alichoongea ni ukweli, na ndicho tunachosisitiza kila siku hapa JF, na tunaongea mchan a kweupe, mbona hawatuuwi sisi?
dr. kitine hawamuwezi huyu ndo alikuwa boss wa TISS hawa akina othman kawatrain yeye kitu nzito huyu
Na Jenerali Imran Kombe alikuwa nani?
Wakimuua sisi mashahidi, hawatakuwa na pa kutokea!
Alichoongea ni ukweli, na ndicho tunachosisitiza kila siku hapa JF, na tunaongea mchan a kweupe, mbona hawatuuwi sisi?
nae alikuwa huko tiss....na alikuwa boss na walimpoteza kwa kuwakandamiza wale wa chini na kuunda makundi yasiyo na mpango....alinyanyasa sana watu yule jamaa...then wakasema isiwe tabu ukasukwa mpango kabambe then akapotezwa...
Wimbi la mparanganyiko wa ccm linazidi kushika kasi kila kukicha,baada ya mtoto wa mkulima kuwataka viongozi wastaafu kutumia vikao kueleza mawazo yao.Agizo hilo limepuuziwa baada ya mmoja wa viongozi wastaafu Dr Hans Kitine kukiponda wazi wazi chama hicho.Akiongea ktk kipindi kinachorushwa na Channel ten cha Je tutafika? Kitine amesema kuwa ccm IMEPOTEZA MWELEKEO maneno yaliowahi kumgharimu aliewahi kuwa katibu mkuu wa ccm wakati huo marehemu Horace Kolimba.Swali langu kwa great thinkers je Dr kitine atasalimika kweli kwa hiyo kauli? maana ukweli unauma!