Mingoi JF-Expert Member Joined Jul 21, 2012 Posts 11,715 Reaction score 6,126 Feb 11, 2013 #101 Molemo said: Hongera sana kamanda Kitila Mkumbo Click to expand... Kitila Mkumbo yupi mzee wa masalia MP7?
Molemo said: Hongera sana kamanda Kitila Mkumbo Click to expand... Kitila Mkumbo yupi mzee wa masalia MP7?
M Molemo JF-Expert Member Joined Sep 24, 2010 Posts 14,620 Reaction score 13,361 Feb 11, 2013 #102 Mingoi said: Kitila Mkumbo yupi mzee wa masalia MP7? Click to expand... Namzungumzia Kitila Mkumbo mbunge ajaye wa Iramba.Huyo mwingine simjui mimi ni wa kwako! Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
Mingoi said: Kitila Mkumbo yupi mzee wa masalia MP7? Click to expand... Namzungumzia Kitila Mkumbo mbunge ajaye wa Iramba.Huyo mwingine simjui mimi ni wa kwako!
M Molemo JF-Expert Member Joined Sep 24, 2010 Posts 14,620 Reaction score 13,361 Feb 11, 2013 #103 Mingoi said: Naona familia imekamilika una baba Le Mutuz na Babu Dr Slaa hongera kwa kutanua familia. Click to expand... Wote ni Baba zangu kwa sababu Dr Slaa kamzidi Le Mutuz kwa miaka 5 tu!
Mingoi said: Naona familia imekamilika una baba Le Mutuz na Babu Dr Slaa hongera kwa kutanua familia. Click to expand... Wote ni Baba zangu kwa sababu Dr Slaa kamzidi Le Mutuz kwa miaka 5 tu!
Mingoi JF-Expert Member Joined Jul 21, 2012 Posts 11,715 Reaction score 6,126 Feb 11, 2013 #104 Molemo said: Namzungumzia Kitila Mkumbo mbunge ajaye wa Iramba.Huyo mwingine simjui mimi ni wa kwako! Click to expand... Hahahaaaa.. nimekuja kugundua wafuasi wa Chadema unafiki ni sehemu ya maisha yao.Kwa kuwa mnataka jimbo leo Kitila Mkumbo anapewa heshima zote wakati juzi juzi mlimaliza hazina yote ya matusi na kumuita msaliti.
Molemo said: Namzungumzia Kitila Mkumbo mbunge ajaye wa Iramba.Huyo mwingine simjui mimi ni wa kwako! Click to expand... Hahahaaaa.. nimekuja kugundua wafuasi wa Chadema unafiki ni sehemu ya maisha yao.Kwa kuwa mnataka jimbo leo Kitila Mkumbo anapewa heshima zote wakati juzi juzi mlimaliza hazina yote ya matusi na kumuita msaliti.
Mingoi JF-Expert Member Joined Jul 21, 2012 Posts 11,715 Reaction score 6,126 Feb 11, 2013 #105 Molemo said: Wote ni Baba zangu kwa sababu Dr Slaa kamzidi Le Mutuz kwa miaka 5 tu! Click to expand... Dr Slaa anamzaa Le Mutuz acha kuadjust umri wa babu.
Molemo said: Wote ni Baba zangu kwa sababu Dr Slaa kamzidi Le Mutuz kwa miaka 5 tu! Click to expand... Dr Slaa anamzaa Le Mutuz acha kuadjust umri wa babu.