Dr. Kitila Mkumbo aipa ITV hadhi ya Television ya Taifa

Anauliza ndonya Msumbiji?
 
Kwani CNN ni tv ya taifa la marekani hadi itumie mda wake kutangaza debate ya romney na obama badala ya voice of america.haya ni maamuzi ya kituo cha tv .wangeonyesha wote baba wa taifa nani angecover uzimaji mwenge shy.?.
Hivi huyo dr kitilya.udr wake ni wa elimu au.maana sioni issue ya kuongelea hapo.
 
Sijui Dr slaa alikufanyia nini maana upumui bila kumtaja!

Badala muwe na Chadema Tv mnalialia Kama watoto.Katibu mkuu kajenga Hekalu kuliko Makao Makuu ya Chama chenu.Nikipitaga pale Makao yenu utafikiri Banda la KUKU.
 
Ni baada ya kukubali kurusha kongamano la vijana kuhusu mwl Nyerere.
Kasema kuwa TV ya taifa sio lzm gari lako liwe na SU au STK, bali matendo.

Mzee Mengi mwenyewe aliwahi kunukuliwa akisema kuwa TBC haiwezi kushindana na TV binafsi, alipokuja Tido TBC ilifurukuta kidogo, ikaitangaza kuwa ITV ina madeni sana huko nje na haiwezi kuonesha michuano ya Kombe la Dunia, TBC ikajinadi kwa kauli mbiu ya ukweli na uhakika, miaka miwili baadae TBC imekuwa televisheni ya kawaida sana huku ITV ikirejea hadhi yake ya kawaida, bila shaka ITV ishalipa madeni yake inayodaiwa huko nje ili mwakani tutazame AFCON moja kwa moja toka kwa Mzee Madiba.

Hongereni sana ITV
 
Badala muwe na Chadema Tv mnalialia Kama watoto.Katibu mkuu kajenga Hekalu kuliko Makao Makuu ya Chama chenu.Nikipitaga pale Makao yenu utafikiri Banda la KUKU.

Chadema inatokea wapi tena na mambo ya ITV????
 
Ni baada ya kukubali kurusha kongamano la vijana kuhusu mwl Nyerere.
Kasema kuwa TV ya taifa sio lzm gari lako liwe na SU au STK, bali matendo.

madaktari mgomo baridi, walimu mgomo baridi, polisi mgomo baridi (mpaka kamanda wao kauwawa bila upinzani wowote),
kila idara mgomo baridi hata taasisi nyeti ya mkuu wetu nayo mgomo baridi wa kuongoza(rejea kutotoa matamko na miongozo ya msingi ktk kutatua matatizo ya raia wake), KWA NINI TBC WABAKI BILA KUGOMA?
wapo kwenye mgomo baridi wa kuwa tv ya taifa toka jembe lao lilipoondolewa, Ahsanteni ITV kwa kuziba pengo!
 
Nashangaa watu kutaka kuitumia vibaya siku ya mwalimu kufanya siasa au kuendeleza malumbano yasiyo na faida kwa nchi yetu. Kama ITV wakiamua kurusha makongamano ya Kitila Mkumbo Live na hii si mara ya kwanza hiyo ni ridhaa yao. Lakini kwenda mbali na kutaka kuwaghiribu wa Tanzania kuamini eti ITV ni ya Kitaifa zaidi hayo ni mambo ya mtu bunafsi anayesema hivyo na anajua anachokifanya. Si vema watu kutaka kuharibu hii siku muhimu ya Baba wa Taifa.
 

Ebwana Moro hatuipat hawajafunga?
 
Hata chadema ikibahatika kuongoza nchi itaiitaji tbc na vyombo vingine vyote vya dola, kwa hili rafiki yzangu wana chadema mnakuwa na mumkali usiopimika
 
Mapovu ya nini sasa?

Nimemsikia JK kupitia TBC ametaja jina la Mwalimu Nyerere mara mbili tu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…