kazikubwa
JF-Expert Member
- Oct 8, 2010
- 597
- 145
Penye ukweli lazima tuseme..ITV ni Television
ya Wa-Tanzania i.e Televisheni ya Taifa.
Toa kigezo mzee nasi tukuunge mkono.
Penye ukweli lazima tuseme..ITV ni Television
ya Wa-Tanzania i.e Televisheni ya Taifa.
Inaonesha wewe ni raia wa kigeni bali jina la MWAISOBA umechukua la wajomba zako baada ya babako kukukataa, hakuna mnyakyusa ana mawazo ya ajabu na ya kitoto kama wewe!
Kweli nimeamini kuwa Dr. wa ukweli amewashika pabaya! naapa hamtapumua mpaka kieleweke!Badala muwe na Chadema Tv mnalialia Kama watoto.Katibu mkuu kajenga Hekalu kuliko Makao Makuu ya Chama chenu.Nikipitaga pale Makao yenu utafikiri Banda la KUKU.
Muanzisha uzi ana matatizo ya akili au ni mwanamtandao kwani alichokisema Dr. Kitila ni cha kuhoji wakati ukweli upo wazi angalia hata habari zao ubaguzi,ukada na woga wa kutetea haki. Mshana aliyepewa nafasi kwa upendeleo ataruhusu majadiliano ya wazi kama Tido Mhando?
hii topic yako peleka facebook, hapa sio mahali pake.
Badala muwe na Chadema Tv mnalialia Kama watoto.Katibu mkuu kajenga Hekalu kuliko Makao Makuu ya Chama chenu.Nikipitaga pale Makao yenu utafikiri Banda la KUKU.
yale ni maoni yake,je wewe unafikiri tv ya taifa inapaswa iweje?Nashangaa watu kutaka kuitumia vibaya siku ya mwalimu kufanya siasa au kuendeleza malumbano yasiyo na faida kwa nchi yetu. Kama ITV wakiamua kurusha makongamano ya Kitila Mkumbo Live na hii si mara ya kwanza hiyo ni ridhaa yao. Lakini kwenda mbali na kutaka kuwaghiribu wa Tanzania kuamini eti ITV ni ya Kitaifa zaidi hayo ni mambo ya mtu bunafsi anayesema hivyo na anajua anachokifanya. Si vema watu kutaka kuharibu hii siku muhimu ya Baba wa Taifa.
Sijui Dr slaa alikufanyia nini maana upumui bila kumtaja!