johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,968
- 141,976
Naibu Waziri wa fedha Dr Kijaji amesema kuanzia sasa ni marufuku kampuni binafsi kuuza mashine ya kukokotolea kodi EFD na kwamba mashine hizo zitatolewa na TRA pekee. Amesema hayo katika mkutano wake na wawakilishi wa wafanyabiashara wa mkoa wa Mwanza, mkutano uliofanyika jijini humo.Source TBC Tv habari!