johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,290
- 142,491
Mkurugenzi wa elimu kwa umma wizara ya afya Dr Kasangala amesema kwa sasa mkazo umewekwa kwenye kuchanja ili kwenda na muda then watu wote waliochanjwa watapatiwa vyeti vyao kwa utaratibu uliopangwa na watapewa taarifa.
Source: ITV Malumbano ya Hoja
Source: ITV Malumbano ya Hoja