Dr. Isaac Ndodi, jirekebishe


Kwa hiyo sisi walinzi na madereva tuliokuwa zamu usiku sio wanaume?
 

Tena ndo ulikuwa muujiza wake wa kwanza kuufanya hapa duniani.

Ndodi huwa anaropoka sana wala hachagui neno la kuongea
 

Kama umekubali yeye ni muinjilisti utambue kazi yake no kuwavuta watu wawe wafuasi wa KRISTO.Naina tatizo lako umekwazikz kwa bile unakunywa pombe hauna sababu ya kumtukana ACHA pombe!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…