JOB SEEKER
Senior Member
- Aug 1, 2011
- 145
- 33
Dr. Dalali Peter Kafumu ametajwa miongoni mwa wafanyakazi wa wizara ya nishati na madini katika kashfa iliyomkumba waziri wa wizara hiyo Mh.ngeleja pamoja na naibu wake.
Katika sakata hilo Dr. Dalali Peter kafumu alipokea kiasi cha sh.560000TSH/= huku Mh.ngeleja Anatuhumiwa kwa kupokea posho ya sh. 4000000 TSH/= na naibu wake sh. 4000000 TSH/=
Je viongozi kama hawa na wengine wengi watawezaje hawana sifa wanastahili kuwajibika kisiasa.
source, Kikao cha bunge kilichofanyika asubuhi ya leo tarehe 19/112011.
Katika sakata hilo Dr. Dalali Peter kafumu alipokea kiasi cha sh.560000TSH/= huku Mh.ngeleja Anatuhumiwa kwa kupokea posho ya sh. 4000000 TSH/= na naibu wake sh. 4000000 TSH/=
Je viongozi kama hawa na wengine wengi watawezaje hawana sifa wanastahili kuwajibika kisiasa.
source, Kikao cha bunge kilichofanyika asubuhi ya leo tarehe 19/112011.