Dr Cornel West and Smiley "Obama doesnot deserve to use MLK's Bible",

Dr Cornel West and Smiley "Obama doesnot deserve to use MLK's Bible",

Natalia

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2011
Posts
4,324
Reaction score
1,900
Kwani what is the beef btw Obama na west .maana sasa imegeuka kuwa crusade ya west na smiley kumdestroy obama.Cornel anasema " Obama sio black ni interracial president .Amekasirika huyo uwiiii walikuwa CNN.swali langu wanatatizo gani ?Obama ameshawaomba waseme shida Yao Belafonte akajibu " shida gani ?
 
Halafu jambo wanalosahau ni kwamba ni family ya MLK iliyompa hiyo Bible na kumwomba aitumie katika kiapo chake.
 
Halafu jambo wanalosahau ni kwamba ni family ya MLK iliyompa hiyo Bible na kumwomba aitumie katika kiapo chake.

Obama hawajui hawa watu anyway (west na smiley ).only Jeremiah wright ndio anamjua Obama .wanavyomfanyia mwenzao sio vizuri.kwa sababu sasa hivi waneamua kuunda kundi " smiley,bellafonte,dr west " .mimi sipendi watu disloyal Kama wewe democratic kuwa democratic .mimi republican naangalia fox news bill oreilly aliwauliza"what is the beef" wakasema Obama sio black na amewasahau weusi.Bill oreilly aliwa challenge hapo walikuwa wamekoma.
 
Halafu jambo wanalosahau ni kwamba ni family ya MLK iliyompa hiyo Bible na kumwomba aitumie katika kiapo chake.

Watoto wa MLK ndio walimtafuta Obama atumie hiyo bible na Michelle hakutaka akamwomba mumewe atumie ya Robinson family .ndio akatumia zote mbili
 
GetFile.aspx
Dr. Cornel West (AP Photo)

Dr. Cornel West called Barack Obama a "Rockefeller Republican in blackface" unworthy of Dr. Martin Luther King Jr.’s bible, which the president used during his second inauguration into office.

Read Latest Breaking News from Newsmax.com Cornel West: Obama Wrong to Use MLK Bible
Urgent: Should Obamacare Be Repealed? Vote Here Now!
 
He also used a Bible that belonged to Abraham Lincoln. I could think of anything more appropriate for the first black elected and reelected President of the United States. What I really find inappropriate is the constant nitpicking by pundits of various shapes and sizes who struggle to scrape some sort of controversy based entirely on supposition, simply to justify their own existence.
 
He also used a Bible that belonged to Abraham Lincoln. I could think of anything more appropriate for the first black elected and reelected President of the United States. What I really find inappropriate is the constant nitpicking by pundits of various shapes and sizes who struggle to scrape some sort of controversy based entirely on supposition, simply to justify their own existence.

These guys have outlasted their 15 minutes of fame and its Obama's turn.
That is just sour grapes to me....no substance in what they are saying.
 
These guys have outlasted their 15 minutes of fame and its Obama's turn.
That is just sour grapes to me....no substance in what they are saying.

SNL 'saturday night live' .MLK ghost alimtokea Obama .Cornel west Noma Mimi nilifikiri anatania alivyokuwa anawaambia watu waangalie SNL ya Jana
 
SNL 'saturday night live' .MLK ghost alimtokea Obama .Cornel west Noma Mimi nilifikiri anatania alivyokuwa anawaambia watu waangalie SNL ya Jana

Natalia,

why would you even bring up SNL in this discussion jamani?

We are being objective in our discussion na wewe unatuambia mambo ya ma-ghost kumtokea
Obama katika SNL. Lord have mercy!

Sina usemi.
 
Old fart.

The inauguration is history already.
 
Back
Top Bottom