David Mushi
Senior Member
- Sep 24, 2015
- 127
- 93
Ni umri Jamani.Alikuwa na Umri wa Miaka 84.Alienda Ubelgiji kwa Ajili ya Matibabu.Umri huo Kwa sisi kizazi hiki kufika huko Ni kama Ndoto.
Acha mawazo ya kipumbavu weweAisee! Hivi Waafrika tunaelewa maana ya upinzani?
Mungu ifariji familia yake.
Mkuu kwani mpinzani hana haki ya kufikwa na umauti?Aisee! Hivi Waafrika tunaelewa maana ya upinzani?
Mungu ifariji familia yake.
Anhaa. Huyo alikuwa mwenda zake kumbe.Umri wake ulikuwa umeenda sana..
Ha ha ha mbona povu limekutoka bureAcha mawazo ya kipumbavu wewe
Mh Etien Tshisekedi
Alikuwa mgonjwa muda mrefu
Pia kumbuka alikuwa na umri wa miaka 84
Ni kweli. Jamaa katikisa sana enzi za uhai wake.Rest in peace kamanda umepigana vita vya kupigania demokrasia muda mrefu.
Mjinga akielimishwa ukubaliHa ha ha mbona povu limekutoka bure
Ulikuwa na ulazima gani wa kutumia neno mpumbavu?
Si ungesema tu kama lilikuwa jambo la kawaida?
Aisee! Nashukuru ndugu mwerevu uwe na siku njema.
Mimi nimekubali kosa mkuu. Nimekomenti bika kufanya uchunguzi.Mjinga akielimishwa ukubali
Mpumbavu akielimishwa ushupaa
Sawa mkuuMimi nimekubali kosa mkuu. Nimekomenti bika kufanya uchunguzi.
Uwe na siku njema.
Shukrani kaka.Sawa mkuu
Nashukuru kwa kutambua ukweli
Wewe ni muungwana
Uwe na siku njema
Tuchape kazi
Nipo kiongozi. Pilika pilika tu za maisha.Ndiyo mamaa, halafu mbona umeadimika sana..