Akihutubia taifa ktk mkesha wa mwaka mpya alitoa tamko kuwa viongozi mafisadi wanaotafuna mali ya umma nchini hawana sifa ya kuongoza na wanapaswa kujiuzulu,je hoja hii ina mashiko yoyote?isitoshe mafisadi wanajulika hata kwa majina na bado wapo madarakani,tutafika?happy new year