Dr. Bashiru Ally anakagua bandari huko ziwa Victoria na kutoa maelekezo, huku wapinzani hata mikutano ya ndani tu wanazuiwa

CCM wana madhambi mengi wametenda na Wapinzani wengi wanajua madhambi yote ya CCM kupitia mikutano ya siasa nchini kote wangeweza kuanika Ukweli juu ya udhaifu wa baadhi ya viongozi wa CCM , Lakini chama Tawala kidikteta wamezuia mikutano kinyume cha sheria na katiba kienyeji tu, huu unyama wa CCM umeongeza chuki kubwa za kisiasa badala ya kujenga umoja na mshikamano kisiasa.
 
Bashiru ni kiongozi wa CCM.

CCM ni chama tawala.

Chama tawala kinasimamia ofisi za umma.

Bashiru ana haki na wajibu kusimamia ofisi za umma.

Chadema siyo chama tawala.

Chadema hakisimamii ofisi za umma zaidi ya kutafuna ruzuku za umma.

Kwa hiyo chadema acheni kutusumbua
CCM officially kinasimamia na Chadema officially kinakosoa maamuzi ya kijinga kama kwenye kikokotozi na kuiokoa nchi na wananchi, mikataba ya madini na mlivyopanga kwenye korosho.
Yale mnayokubali ushauri mnafanikiwa na Yale ya ubishi wenu mnaishia kufedheheka na kutesa watu tuu kama korosho
 
Mkuu achana nao wasikuharibie siku. Pamoja na buku saba sikuhizi hulishwa maharage, sijui ni aina gani masikini, huwafanya wavimbiwe balaa

Watetezi wa CCM mitandaoni wote wanaishi gheto kwa Le mutuz na Cyprian musiba, huko ndipo hulishwa maneno na hao watu ambao pia ni watu wajinga wajinga wanaoishi kwa maisha ya Blackmail tu.
 
Je hao Wapinzania nao hasa hasa CHADEMA wangekuwa ndiyo wameshika ' dola / nchi ' wasingefanya hicho ambacho kinafanywa sasa na CCM pamoja na Serikali yake? Ukijibu wasingeweza nitaomba uniwekee na sababu zako Kuntu / Sahihi / Murua kabisa ili niridhike nazo. Nasubiri Mkuu.
Jibu ni wangefanya lakini wasingezuia wengine kufanya kwa kuwa nchi ni ya kidemokrasia inayofuata mfuko wa vyama vingi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sidhani kama hili ndilo jibu lenye mantiki na hoja nilikuwa nahitaji nijibiwe. Sasa nimeshajua ni kwanini CHADEMA hamtoweza Kamwe kuitawala Tanzania.
Hawataweza kwa vile wewe umejibiwa hivyo,? Ana kweli wewe una elements za upumbavu (sijasema wewe ni mpumbavu maana hilo sina ushahidi)
 
CCM officially kinasimamia na Chadema officially kinakosoa maamuzi ya kijinga kama kwenye kikokotozi na kuiokoa nchi na wananchi, mikataba ya madini na mlivyopanga kwenye korosho.
Yale mnayokubali ushauri mnafanikiwa na Yale ya ubishi wenu mnaishia kufedheheka na kutesa watu tuu kama korosho

Kwenye korosho ndipo wameboronga sana, uhakiki Mashamba umejaa Rushwa na shamba moja linaweza kuhakikiwa mara 10-20 kuna vioja vingi na mashamba mengi yapo porini sana magari hayafiki wakulima wahuni wamelipwa mara mbilimbili licha ya hapo awali kuwa wamepokea malipo toka kwa wafanyabiashara huku wanajeshi wakianza kufanya Zinaa na wake za watu ndiyo maana Gari zao nyingi sana zimepata ajali za kutosha, Mtwara wamelaaniwa hawatafanikiwa kwa lolote mpaka wapige magoti kwa wafanyabiashara.
 
Kwenye korosho ndipo wameboronga sana, uhakiki Mashamba umejaa Rushwa na shamba moja linaweza kuhakikiwa mara 10-20 kuna vioja vingi na mashamba mengi yapo porini sana magari hayafiki wakulima wahuni wamelipwa mara mbilimbili licha ya hapo awali kuwa wamepokea malipo toka kwa wafanyabiashara huku wanajeshi wakianza kufanya Zinaa na wake za watu ndiyo maana Gari zao nyingi sana zimepata ajali za kutosha, Mtwara wamelaaniwa hawatafanikiwa kwa lolote mpaka wapige magoti kwa wafanyabiashara.
Sasa ona yote Haya! Ndio maana Mzee baba kashtuka sasa anawakana anasema hataki kusikia neno maagizo kutoka juu. Jambo likienda vizuri sawa ni maagizo toka juu lakini wakichemka watajijua wenyewe
 
Halmashauri?

Kuongoza halmashauri haikipi chama hadhi ya kuwa chama tawala.

Kuwa chama tawala ni pamoja na kushika dola, kuongoza taasisi za ulinzi na usalama.

Sasa chadema kinasimamia taasisi gani ya usalama was nchi zaidi ya wale wanamgambo wa chadema?

Kwahiyo wenye "hadhi ya chama tawala" ndio pekee wana haki ya kufanya siasa? Na kama hivyo ndivyo, nitajie kipengele kilichotoa haki hiyo kwenye katiba yetu (1977)??

Hoja ya msingi hapa ni haki ya vyama vingine kufanya siasa. Sasa naona unataka kujificha kwenye ligi ya maana ya neno "kutawala." Hiyo sio hoja kwa leo...
 
Kwahiyo wenye "hadhi ya chama tawala" ndio pekee wana haki ya kufanya siasa? Na kama hivyo ndivyo, nitajie kipengele kilichotoa haki hiyo kwenye katiba yetu (1977)??

Hoja ya msingi hapa ni haki ya vyama vingine kufanya siasa. Sasa naona unataka kujificha kwenye ligi ya maana ya neno "kutawala." Hiyo sio hoja kwa leo...
Chama tawala cha udikteta sasa kinatawala kijeshi hakifuati katiba kinatawala kienyeji enyeji wanaccm wote wamekariri zidumu fikra za Mwenyekiti wa CCM hata kama fikra ni za kukandamiza demokrasia
 
Kwahiyo wenye "hadhi ya chama tawala" ndio pekee wana haki ya kufanya siasa? Na kama hivyo ndivyo, nitajie kipengele kilichotoa haki hiyo kwenye katiba yetu (1977)??

Hoja ya msingi hapa ni haki ya vyama vingine kufanya siasa. Sasa naona unataka kujificha kwenye ligi ya maana ya neno "kutawala." Hiyo sio hoja kwa leo...

CCM so watawala bali CCM ni chama kinachoongoza, maana ya Tawala ni Utawala wa kijeshi ingawa CCM ya sasa awamu hii ya mtukufu malaika toka chato na Naibu Rais ndugu Bashite toka kolomije wameigeuza CCM kuwa ni chama tawala kidikteta tu wala si vinginevyo.
 
Bashiru ni kiongozi wa CCM.

CCM ni chama tawala.

Chama tawala kinasimamia ofisi za umma.

Bashiru ana haki na wajibu kusimamia ofisi za umma.

Chadema siyo chama tawala.

Chadema hakisimamii ofisi za umma zaidi ya kutafuna ruzuku za umma.

Kwa hiyo chadema acheni kutusumbua

Mkuu mnakariri maneno kama mazuzu, hilo neno tawala mnalipenda mpaka linawapa wazimu. Hakuna chama kinacho tawala, kwenye nchi ya mfumo wa demokrasia ya vyama vingi duniani.Mkuu ni chama kilichounda serekali, na serekali huongoza nchi kwa kushika hatamu za uongozi. Wanao weza kutawala nchi ni viongozi wa ki imla na kwa kawida hawachaguliwi kwa njia za ki demokrasia.Na wengine wnaoweza kutamba kuwa ni watawala ni ma diktaeta hawa huweza kuingia madarakani kwa nguvu au kwa kupigiwa kura lakini baadae huwageuka waliompigia kura kwa kukiuka katiba na kuongoza nchi kwa matakwa yao wenyewe.
 
Wakati tunasoma na kusikia kuwa, wapinzani wanazuiwa kufanya hata mikutano ya ndani,huko kanda ya ziwa kupitia tv, namuona Katibu Mkuu wa CCM ,Dr.Bashiru Ally akitembelea bandari katika ziwa victoria na kutoa maaelekezo kwa watendaji.

Maoni yangu:
Wapinzani wasilaumiwe kwa uamuzi wowote watakaochukua maama hio ndio njia pekee iliyobaki kwa sasa.

Nia wanayo,sababu wanayo,uwezo wanao ila muda wa kupoteza zaidi ndio hawana-siwezi kuwalamu kwa lolote.

Jambo lingine,nimejifunza ni bora wapagani wasio na dini kuliko sisi wengine wanafiki tunaojifanya kumjua Mungu na kumtaja kila mara.
Ama kweli hakuna mbafiki zaidi yako SS, maana ya mnafiki = msema uongo, mchonganishi, mfitinishi nk, na sifa zote za unafiki unazo wewe, michango yako hapa JF ni ushahidi kamili ya unafiki wako, nawe una dini.

Asiyekubali mazuri ya asiowapenda na kupinga mabaya yao ni mnafiki, pia anyefumbia mabaya ya awapendao na kuwasifia wasipostahili ni mnafiki. Yote hayo ni mabovu yako.

Pili wapagani ni wanadamu kama mimi na wewe, wacha ubaguzi, mashoga mnawaunga mkono , wapagani unawadharau.

WEWE NI MNAFIKI NUMBER 1

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ama kweli hakuna mbafiki zaidi yako SS, maana ya mnafiki = msema uongo, mchonganishi, mfitinishi nk, na sifa zote za unafiki unazo wewe, michango yako hapa JF ni ushahidi kamili ya unafiki wako, nawe una dini.

Asiyekubali mazuri ya asiowapenda na kupinga mabaya yao ni mnafiki, pia anyefumbia mabaya ya awapendao na kuwasifia wasipostahili ni mnafiki. Yote hayo ni mabovu yako.

Pili wapagani ni wanadamu kama mimi na wewe, wacha ubaguzi, mashoga mnawaunga mkono , wapagani unawadharau.

WEWE NI MNAFIKI NUMBER 1

Sent using Jamii Forums mobile app
Kibaraka wa yule shetani mkuu wewe!!
 
Mkuu mnakariri maneno kama mazuzu, hilo neno tawala mnalipenda mpaka linawapa wazimu. Hakuna chama kinacho tawala, kwenye nchi ya mfumo wa demokrasia ya vyama vingi duniani.Mkuu ni chama kilichounda serekali, na serekali huongoza nchi kwa kushika hatamu za uongozi. Wanao weza kutawala nchi ni viongozi wa ki imla na kwa kawida hawachaguliwi kwa njia za ki demokrasia.Na wengine wnaoweza kutamba kuwa ni watawala ni ma diktaeta hawa huweza kuingia madarakani kwa nguvu au kwa kupigiwa kura lakini baadae huwageuka waliompigia kura kwa kukiuka katiba na kuongoza nchi kwa matakwa yao wenyewe.


Kwani Katiba ya Tanzania inapotaja neno "tawala" ina maanisha kwamba yenyewe ni katiba ya kidikteta?

Kwa Tanzania, neno "tawala" lina maana ya kuwa madarakani au kuongoza.

Hayo uliyoyawaza kinyume na hapo ni ya kwako tu.

Kwanza democracy ya nchi moja haifanani na nchi nyingine.

Mfano, Kenya rais bora kwao ni yule anayetokana na kabila kubwa aidha Mkikuyu, Luhya, au Kalenji.

Kwa Tanzania rais bora ni yule anayetokana na CCM maana CCM ndicho chama kilichosheheni viongozi bora kabisa walioandaliwa kwa muda mrefu na wana ujuzi na uzoefu katika uongozi.

Hivyo vyama vingine hakuna kitu, zaidi sana kuna makapi yaliyochekechwa na kutemwa na mfumo was CCM
 
Kwahiyo wenye "hadhi ya chama tawala" ndio pekee wana haki ya kufanya siasa? Na kama hivyo ndivyo, nitajie kipengele kilichotoa haki hiyo kwenye katiba yetu (1977)??

Hoja ya msingi hapa ni haki ya vyama vingine kufanya siasa. Sasa naona unataka kujificha kwenye ligi ya maana ya neno "kutawala." Hiyo sio hoja kwa leo...


CCM ndicho chama kilipata kura nyingi, na ndiyo maana JPM akatangazwa mshindi kwa mujibu was Katiba.

Akaunda serikali kuu ambayo inasimamia ofisi na shughuli zote za nchi.

Hakuna chama kingine kilichounda serikali.

Kama kipo, kitaje.
 
Wewe ni kilaza na mbumbumbu namba moja nchini Tanzania kojoa ukalale, Sasa kama CCM ni chama tawala cha kijeshi kina vyombo vyote vyenye mabunduki iweje chama chenye vyombo vyenye kila kitu kuanza kuwabambikia kesi, kuwapiga Risasi, kuwapora ushindi kuwahujumu kuwadhoofisha kuwadhalisha Wapinzani ambao hawana vyombo vya Dola? wewe si chama tawala cha kidikteta si uruhusu mikutano ya siasa ujue Dhambi zako? Unaogopa nini? Unaficha nini? Acheni ushamba wa kolomije na chato.

Kama mtu kapigwa risasi kweli, mbona kovu halijaonyeshwa?

Halafu kama MTU kaporwa, ni kwanini asiende mahakamani kulalamika?

Kwa vyovyote, kama mtu umeonewa na serikali, mahakama wazi nenda ukalalamike maana ndiyo kazi yao
 
Back
Top Bottom