Unaweza kunipa historia yake kwa ufupi maana ndio kwanza nimemuona Leo .nami namuombea awakilishe vema maana ni wizara nyeti sana hiyo na nafikiri mh kazingatia uadilifu na uchapakazi
Nani kakudanganya?? Je Dr Magufuli alipata wapi uzoefu wa kuwa rais? Je baba yako alipata wapi uzoefu wa kuwa baba? Je mama yako alipata uzoefu wapi wa kuwa mama?? Acha unafiki, mimi namfahamu ni mtu mwenye weledi uliotukuka na ni moja ya tunu muhimu sana Kwa taifa. Ana upendo na ni mtu wa watu.Ni mzuri kwa academic insitutions kama huko anakofundisha..lakini hana uzoefu katika kusimamia watu kama wa wizara ya fedha na hasa tra
Nani kakudanganya?? Je Dr Magufuli alipata wapi uzoefu wa kuwa rais? Je baba yako alipata wapi uzoefu wa kuwa baba? Je mama yako alipata uzoefu wapi wa kuwa mama?? Acha unafiki, mimi namfahamu ni mtu mwenye weledi uliotukuka na ni moja ya tunu muhimu sana Kwa taifa. Ana upendo na ni mtu wa watu.
Naibu waziri wa mipango, fedha na uchumi ni mchapa kazi, muadilifu, hana upendeleo na ni mtu makini sana ktk kazi zake. Nampongeza sana kwa huu uteuzi naamini watanzania tutafikia ukombozi wa kiuchumi kupitia uongozi wako na Dr. Maguful.