Mpangawangu
JF-Expert Member
- Mar 5, 2014
- 887
- 965
Mwendesha mashtaka wa Tanzania ,ndugu Elieza Feleshi amekuwa mtu ambae ni mzigo kwa taifa na mtu anaechochea chuki kwa kufanya kazi katika misingi ya kibaguzi.
Awali yeye ndie aliweka zuio la dhamana ya shekh Ponda licha ya kwamba alifahamu fika kuwa alikuwa anavunja sheria.
Kwa mujibu wa sheria za Tanzania,ni makosa ya Uhaini,na Mauaji ambayo yanakataliwa dhamana ya kisheria,lkn bila aibu wala kuona kuwa anafanya kinyume na sheria za nchi,
Je ni sheria gani ambayo inamfanya DPP amshikilie Shekh Ponda?
Je FELESHI anasukumwa na imani yake ya dini kumkomoa Shekh ponda au kuna watu anawatumikia?
Hii inamadhara gani kwa uhusiano kati ya serikali na waislaam?
Je hii amani na uzalendo ambayo leo tumeshuhudia wasanii wa bongo wakitangaza itafanikiwa hasa kwa taifa ambalo linawatu wanaojiona wamegaliwa?
Msimamo wa BAKWATA wa kutetea uovu wa ccm kama vile kauli za Kibaguzi za LUKUVI ni bora kuliko Ponda mbele ya macho ya waislaam?
Awali yeye ndie aliweka zuio la dhamana ya shekh Ponda licha ya kwamba alifahamu fika kuwa alikuwa anavunja sheria.
Kwa mujibu wa sheria za Tanzania,ni makosa ya Uhaini,na Mauaji ambayo yanakataliwa dhamana ya kisheria,lkn bila aibu wala kuona kuwa anafanya kinyume na sheria za nchi,
Je ni sheria gani ambayo inamfanya DPP amshikilie Shekh Ponda?
Je FELESHI anasukumwa na imani yake ya dini kumkomoa Shekh ponda au kuna watu anawatumikia?
Hii inamadhara gani kwa uhusiano kati ya serikali na waislaam?
Je hii amani na uzalendo ambayo leo tumeshuhudia wasanii wa bongo wakitangaza itafanikiwa hasa kwa taifa ambalo linawatu wanaojiona wamegaliwa?
Msimamo wa BAKWATA wa kutetea uovu wa ccm kama vile kauli za Kibaguzi za LUKUVI ni bora kuliko Ponda mbele ya macho ya waislaam?