GE2025 Doyo wa NLD: Mkinichagua, nitapunguza posho za wabunge hadi Tsh 70,000 na mshahara, fedha kuelekeza kwenye afya, ualimu na askari

GE2025 Doyo wa NLD: Mkinichagua, nitapunguza posho za wabunge hadi Tsh 70,000 na mshahara, fedha kuelekeza kwenye afya, ualimu na askari

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

PAYE

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2025
Posts
354
Reaction score
395
Chama cha NLD kimeahidi kupunguza posho za wabunge na badala yake fedha hizo zitaelekezwa katika kuongeza huduma za afya pamoja na kupandisha mishahara ya kada ya ualimu na askari.

Ahadi hiyo imetolewa na mgombea Urais wa chama hicho Doyo Hassan Doyo wakati akizungumza na wakazi wa Kibamba, Dar es Salaam.

 
Chama cha NLD kimeahidi kupunguza posho za wabunge na badala yake fedha hizo zitaelekezwa katika kuongeza huduma za afya pamoja na kupandisha mishahara ya kada ya ualimu na askari.

Ahadi hiyo imetolewa na mgombea Urais wa chama hicho Doyo Hassan Doyo wakati akizungumza na wakazi wa Kibamba, Dar es Salaam.

Ana hoja kubwa sanaa ila sasaa....
 
Back
Top Bottom