tonicimmobility
JF-Expert Member
- Jun 17, 2025
- 493
- 1,038
Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha National League for Democracy (NLD), Doyo Mohammed Doyo amesema kuingia kwake kwenye siasa si kwa sababu ya baba yake kuwa mwanasiasa bali ni maumivu aliyoyapitia akiwa mdogo.
Soma pia: Helbeth Mlelwa anadaiwa kukamatwa na polisi kwa kurekodi ujumbe wa kulaani kukamatwa Tundu Lissu TikTok
Akizungumza katika mahojiano maalumu na Mwananchi Digital Doyo amesema aliwahi kushuhudia mama yake mzazi akikamatwa na polisi kwa kukosa kulipa kodi ya maendeleo, jambo lililomsukuma kuingia kwenye siasa ili kutatua changamoto za aina hiyo
Chanzo: Mwananchi_official
Soma pia: Helbeth Mlelwa anadaiwa kukamatwa na polisi kwa kurekodi ujumbe wa kulaani kukamatwa Tundu Lissu TikTok
Akizungumza katika mahojiano maalumu na Mwananchi Digital Doyo amesema aliwahi kushuhudia mama yake mzazi akikamatwa na polisi kwa kukosa kulipa kodi ya maendeleo, jambo lililomsukuma kuingia kwenye siasa ili kutatua changamoto za aina hiyo
Chanzo: Mwananchi_official