House of Commons
JF-Expert Member
- Oct 1, 2013
- 2,076
- 1,991
Kuna members humu sijawaona kwa muda mwingi sana. Dotto Rangimoja na The Boss hawapo humu. wako wapi? Natamani kuwasikia au kuwaona wakijitokeza mubashara, vinginevyo tuamini kwamba wameshahujumiwa maisha yao na hawapo duniani tena.
Kama kuna members wanafahamu walipo hawa wapendwa watuambie nini kiliwasibu hawa ndugu zetu mpaka wasionekane ndani ya mtandao huu pendwa.
Kama kuna members wanafahamu walipo hawa wapendwa watuambie nini kiliwasibu hawa ndugu zetu mpaka wasionekane ndani ya mtandao huu pendwa.