miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,805
- 49,104
Nzuri saana a umejitahidi sana kutoa ushauri na kama alivyosema miss chagga it is more than expensive muhimu ni kuwa makini na uliyenae na uliyempata maana chuo wengi ni pasua kichwa
tatizo watu huogopa kuacha au kuachwa
jamani it wont hurt you kumuacha mtu hata kama anajulikana kwenu itakuuuma zaidi kadri utakavyozidi kungangania na kufunga ndo ndo haya mambo ya kilawitiana
mtu AKUFAI MUACHE mara moja bila kutafuta soln zisizo na msingi yaani mimi nikute msg ya mwanamke ya kimapenzi kwenye simu ya boy wangu wala si solv chochote
namuacha MARA MOJA
I dont want to rememberWere you the dumper or the dumpeee!
Muite mamitoo asipitwe na utamu... teh teh teh
Exactly, you hit the point masai dada. Watu wengi tunahisi kuresolve matatizo ndani ya r/ships zetu ndio the best & wisest medications...
S/times we need to hv balls of steel, fanya maamuzi mazito.
I dont want to remember
Ndo ushakumbuka tayari...
hahahah haya mupenzi Mafikizolo ujage uku ONTARIO anataka usipitwe na huu utamu...
Nafikiri hii yawafaa wasiojitambua kunako mahusiano....
Tena hao wanaojifanya mabingwa kunako mahusiano, ndo hua ni great victim to this type.
Hua wanajifanya mabingwa wa uvumilivu, mabingwa wa kusamehe, profoundly seek for reconciliation. Mwisho wao hua si mzuri sana.
chuoni mapenzi ya kudumu hadi ndoa hamna........ nina marafk zang wanne ambao wote baada ya chuo kuisha mauhusiano na watu wao yamekatika .... kweli ni kusaidiana kukua kama heaven on earth alivosema
90's yes but these days not at all
Aise..hizi ndo story tunataka jf..