Don't let your ex destroy your relationship or marriage.

Don't let your ex destroy your relationship or marriage.

Tatizo tunalazimishaga mapenzi na tulioachana nao kwa kigezo cha KUPASHA kiporo.

Kwa muktaza huo kama unaweza kupasha kiporo na UMEOA Mwanamke SIO BIKIRA inamaana naye ANAPASHWA
Lakini maddam nimekuelewa sana kwenye hili,na hii ndiyo sababu kubwa sana ya marriage wreck,kwanini hatujiulizi kama kweli tulipendana na ma-Ex wetu?kwanini kila mmoja aliondoka halafu baadae kila mtu au mmoja yuko kivulini,inakua tena hiyo takataka?
Mimi nilijaribu kuwapitia upya wote,na wakawa tayari,nikajipongeza kuwa HAWAKUWA CHAGUO SAHIHI KWANGU,kwakuwa hata ningewaoa mimi WANGEGONGWA na ma-X wao.KUJIDHALILISHA TU.
Am very expensive to just let my banana open.
 
.....a second opinion and a plan B solution if plan A doesnt work.

Am done replying to this Crap.
This is just a fiction story I don't understand why you take it so personal? 😀 😀
and you react as if it remind you of your past,,, MOVE ON FRIEND!!
 
Kwamba jina linawabeba
Sina uhakika kama hilo Einstein ndo jina lako halisi lakini kama ni jina lako halisi basi inaonekana watu wenye hilo jina wanapenda sana kutumia lugha ya kiingereza

Maana nina mshikaji wangu mmoja anaitwa Einstein ukichat naye ni kiingereza kwa kwenda mbele maneno ya kiswahili ataweka machache sana tena mara moja moja sana japo ni mbongo tu sema sijui jina ndo linachangia labda
 
Ila mkuu ukienda taratibu unaokota points kidogo huwezi toka patupu
Nimengamua points nying tu mkuu,

Emotional attachment is serious disaster if someone fails to control especially for lover who used to share soul, body, money,
 
Honestly nikirudi wazi kabisa, my ex left me with many memories, kiasi kwamba hakuna girl ambae ameweza kunisahaulisha about that first crush and my first love since 2013.....
 
Mwenye uzi anaweza ku copy na kupaste as much as they want, and put any work of fiction or fact as much as they want....

Ila Ndoa na iheshimiwe, as watu wawili wameunganishwa by God kua mwili mmoja hadi KIFO kiwatenganishe.

This unhealthy obession he has with his Ex is amazing. The only way he can finally get some sort of closure is by justifying his pain and loneliness in his head with posts of pictures and many threads on JF insinuating that women including wake za watu ni cheaters, sexual objects, used goods and so forth.

However the fact remains she is GONE. Now get over it and get a life.
Hapa kuna league inaendelea..nawafuatilia
 
Jiwe giza ukisikia "uuuuuuwi" ujue lishampata tu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mwenye uzi anaweza ku copy na kupaste as much as they want, and put any work of fiction or fact as much as they want....

Ila Ndoa na iheshimiwe, as watu wawili wameunganishwa by God kua mwili mmoja hadi KIFO kiwatenganishe.

This unhealthy obession he has with his Ex is amazing. The only way he can finally get some sort of closure is by justifying his pain and loneliness in his head with posts of pictures and many threads on JF insinuating that women including wake za watu ni cheaters, sexual objects, used goods and so forth.

However the fact remains she is GONE. Now get over it and get a life.
 
Back
Top Bottom