Bolshevick
JF-Expert Member
- Sep 2, 2013
- 355
- 247
Donald Trump hayuko kama vyombo vya habari vinavyomsema. Trump ndie chaguo sahihi. Ndie dawa ya matatizo mengi. Ndie dawa ya vyama tawala vinavyotaka kutawala milele amina. Ndo dawa ya mtu anaitwa M7, Nkurunzinza na wadudu wengine warukao na kutambaa.