Donald Trump na Boris Johnson

Donald Trump na Boris Johnson

Nyani Ngabu

Platinum Member
Joined
May 15, 2006
Posts
98,115
Reaction score
143,528
Hivi ni macho yangu tu au hawa jamaa wawili wanafanana? Na sizungumzii kufanana kimwonekano tu...hata kiitikadi na pengine hata ki-mustakabali.

Kwanza hebu angalia nywele zao..😀.

Wote wawili ni wanasiasa wenye itikadi ya mrengo wa kulia.

Wote wawili wanaweza kuja kuwa viongozi wa nchi zao - Johnson inasemekana huenda ndo akaja kuwa waziri mkuu baada ya David Cameron kutangaza kujiuzulu. Trump naye anaweza kabisa kuja kuwa rais wa Marekani baada ya uchaguzi wa Novemba .

Hebu tazama hizi picha....mbona kama wanafana hawa watu...😀

upload_2016-6-24_16-43-31.jpeg
upload_2016-6-24_16-44-6.jpeg



upload_2016-6-24_16-44-25.jpeg
upload_2016-6-24_16-44-46.jpeg


images
images
 

Attachments

  • upload_2016-6-24_16-45-15.jpeg
    upload_2016-6-24_16-45-15.jpeg
    7.8 KB · Views: 53
inawezekana,ila huyu muingereza anatisha kuliko trump
 
Hivi ni macho yangu tu au hawa jamaa wawili wanafanana? Na sizungumzii kufanana kimwonekano tu...hata kiitikadi na pengine hata ki-mustakabali.

Kwanza hebu angalia nywele zao..😀.

Wote wawili ni wanasiasa wenye itikadi ya mrengo wa kulia.

Wote wawili wanaweza kuja kuwa viongozi wa nchi zao - Johnson inasemekana huenda ndo akaja kuwa waziri mkuu baada ya David Cameron kutangaza kujiuzulu. Trump naye anaweza kabisa kuja kuwa rais wa Marekani baada ya uchaguzi wa Novemba .

Hebu tazama hizi picha....mbona kama wanafana hawa watu...😀

View attachment 359840 View attachment 359841


View attachment 359842 View attachment 359843

images
images


Hao ni watu wawili tofauti kabisa, huyo mmoja Alexander Boris de Pfeffel Johnson ni Myahudi na ana damu ya Kituruki wakati D. Trump ni Mzungu 100% caucasian, mmoja ni tapeli huyo Boris wkt mwingine D.Trump ni genius!

Hivyo kuwalinganisha D.Trump na huyo Myahudi ingawaje D.Trump ni anti globalist ni kumkosea D.Trump, huwezi kumfananisha huyo kilaza mwandishi wa Habari Boris na D.Trump hata siku moja!

na kwanza nafikiri haufahamu vizuri historia ya huyo Myahudi Alexander Boris de Pfeffel Johnson, huyo ni Globalist alikuwa tu ana kampeni kwa Uingereza kujitenga na EU kwa faida zake binafsi lkn ni bonge la liberal wakati D.Trump 100 conservative, pro life, anti gay, transsexuals, anti immigration, anti Globalist D. Trump is just the best, USA wanakaribia kupata Magufuli wao aweze kuinyoosha na kuirudisha USA kwenye mstari!
 
Imagine wote sasa wakiwa ndo viongozi wa nchi zao..
Tangu uanze na ushabiki wako umegeuka kuwa comedy tuu.Romney,McCain wote chali na huyu naye 100% chali hata kabla ya uchaguzi, itabidi wewe na Durant mkamwombe msamaha Lil B
 
Tangu uanze na ushabiki wako umegeuka kuwa comedy tuu.Romney,McCain wote chali na huyu naye 100% chali hata kabla ya uchaguzi, itabidi wewe na Durant mkamwombe msamaha Lil B

Duh!

Aliyekwambia mimi ni pro-Trump nani?

Halafu leo bosi wako kakupa off nini?

Na badala ya kuitumia kupumzika umekuja kutoa povu humu.

Nikupe paper towel ujifute?😀😀😀
 
Ha
Duh!

Aliyekwambia mimi ni pro-Trump nani?

Halafu leo bosi wako kakupa off nini?

Na badala ya kuitumia kupumzika umekuja kutoa povu humu.

Nikupe paper towel ujifute?😀😀😀
Hahahahaha mbavu zangu......hii ni KO! Ya first round
 
Hao ni watu wawili tofauti kabisa, huyo mmoja Alexander Boris de Pfeffel Johnson ni Myahudi na ana damu ya Kituruki wakati D. Trump ni Mzungu 100% caucasian, mmoja ni tapeli huyo Boris wkt mwingine D.Trump ni genius!
Ubaguzi ni kitu kibaya sana. Yani hapo kisa ni Myaudi tu ndio imekuwa tatizo kwako.
Hao ni watu wawili tofauti kabisa, huyo mmoja Alexander Boris de Pfeffel Johnson ni Myahudi na ana damu ya Kituruki wakati D. Trump ni Mzungu 100% caucasian, mmoja ni tapeli huyo Boris wkt mwingine D.Trump ni genius!

Hivyo kuwalinganisha D.Trump na huyo Myahudi ingawaje D.Trump ni anti globalist ni kumkosea D.Trump, huwezi kumfananisha huyo ****** mwandishi wa Habari Boris na D.Trump hata siku moja!

na kwanza nafikiri haufahamu vizuri historia ya huyo Myahudi Alexander Boris de Pfeffel Johnson, huyo ni Globalist alikuwa tu ana kampeni kwa Uingereza kujitenga na EU kwa faida zake binafsi lkn ni bonge la liberal wakati D.Trump 100 conservative, pro life, anti gay, transsexuals, anti immigration, anti Globalist D. Trump is just the best, USA wanakaribia kupata Magufuli wao aweze kuinyoosha na kuirudisha USA kwenye mstari!


Hivyo kuwalinganisha D.Trump na huyo Myahudi ingawaje D.Trump ni anti globalist ni kumkosea D.Trump, huwezi kumfananisha huyo ****** mwandishi wa Habari Boris na D.Trump hata siku moja!

na kwanza nafikiri haufahamu vizuri historia ya huyo Myahudi Alexander Boris de Pfeffel Johnson, huyo ni Globalist alikuwa tu ana kampeni kwa Uingereza kujitenga na EU kwa faida zake binafsi lkn ni bonge la liberal wakati D.Trump 100 conservative, pro life, anti gay, transsexuals, anti immigration, anti Globalist D. Trump is just the best, USA wanakaribia kupata Magufuli wao aweze kuinyoosha na kuirudisha USA kwenye mstari!

Hao ni watu wawili tofauti kabisa, huyo mmoja Alexander Boris de Pfeffel Johnson ni Myahudi na ana damu ya Kituruki wakati D. Trump ni Mzungu 100% caucasian, mmoja ni tapeli huyo Boris wkt mwingine D.Trump ni genius!

Hivyo kuwalinganisha D.Trump na huyo Myahudi ingawaje D.Trump ni anti globalist ni kumkosea D.Trump, huwezi kumfananisha huyo ****** mwandishi wa Habari Boris na D.Trump hata siku moja!

na kwanza nafikiri haufahamu vizuri historia ya huyo Myahudi Alexander Boris de Pfeffel Johnson, huyo ni Globalist alikuwa tu ana kampeni kwa Uingereza kujitenga na EU kwa faida zake binafsi lkn ni bonge la liberal wakati D.Trump 100 conservative, pro life, anti gay, transsexuals, anti immigration, anti Globalist D. Trump is just the best, USA wanakaribia kupata Magufuli wao aweze kuinyoosha na kuirudisha USA kwenye mstari!

Hao ni watu wawili tofauti kabisa, huyo mmoja Alexander Boris de Pfeffel Johnson ni Myahudi na ana damu ya Kituruki wakati D. Trump ni Mzungu 100% caucasian, mmoja ni tapeli huyo Boris wkt mwingine D.Trump ni genius!

Hivyo kuwalinganisha D.Trump na huyo Myahudi ingawaje D.Trump ni anti globalist ni kumkosea D.Trump, huwezi kumfananisha huyo ****** mwandishi wa Habari Boris na D.Trump hata siku moja!

na kwanza nafikiri haufahamu vizuri historia ya huyo Myahudi Alexander Boris de Pfeffel Johnson, huyo ni Globalist alikuwa tu ana kampeni kwa Uingereza kujitenga na EU kwa faida zake binafsi lkn ni bonge la liberal wakati D.Trump 100 conservative, pro life, anti gay, transsexuals, anti immigration, anti Globalist D. Trump is just the best, USA wanakaribia kupata Magufuli wao aweze kuinyoosha na kuirudisha USA kwenye mstari!
Ubaguzi ni jambo baya sana...yan hapo kisa ni myaudi imekuwa ni tatizo kwako.
 
Duh!

Aliyekwambia mimi ni pro-Trump nani?

Halafu leo bosi wako kakupa off nini?

Na badala ya kuitumia kupumzika umekuja kutoa povu humu.

Nikupe paper towel ujifute?😀😀😀
Hahahahaha mbavu zangu.....yani ni KO! Ya first round
 
Hao ni watu wawili tofauti kabisa, huyo mmoja Alexander Boris de Pfeffel Johnson ni Myahudi na ana damu ya Kituruki wakati D. Trump ni Mzungu 100% caucasian, mmoja ni tapeli huyo Boris wkt mwingine D.Trump ni genius!

Hivyo kuwalinganisha D.Trump na huyo Myahudi ingawaje D.Trump ni anti globalist ni kumkosea D.Trump, huwezi kumfananisha huyo ****** mwandishi wa Habari Boris na D.Trump hata siku moja!

na kwanza nafikiri haufahamu vizuri historia ya huyo Myahudi Alexander Boris de Pfeffel Johnson, huyo ni Globalist alikuwa tu ana kampeni kwa Uingereza kujitenga na EU kwa faida zake binafsi lkn ni bonge la liberal wakati D.Trump 100 conservative, pro life, anti gay, transsexuals, anti immigration, anti Globalist D. Trump is just the best, USA wanakaribia kupata Magufuli wao aweze kuinyoosha na kuirudisha USA kwenye mstari!
Sidhani kama ni myahudi, ila najua babu yake ni mturuki kwa asili, bibi yake ana asili uingereza na ufaransa,ana udugu na david cameroon
 
Hivi ni macho yangu tu au hawa jamaa wawili wanafanana? Na sizungumzii kufanana kimwonekano tu...hata kiitikadi na pengine hata ki-mustakabali.

Kwanza hebu angalia nywele zao..😀.

Wote wawili ni wanasiasa wenye itikadi ya mrengo wa kulia.

Wote wawili wanaweza kuja kuwa viongozi wa nchi zao - Johnson inasemekana huenda ndo akaja kuwa waziri mkuu baada ya David Cameron kutangaza kujiuzulu. Trump naye anaweza kabisa kuja kuwa rais wa Marekani baada ya uchaguzi wa Novemba .

Hebu tazama hizi picha....mbona kama wanafana hawa watu...😀

View attachment 359840 View attachment 359841


View attachment 359842 View attachment 359843

images
images
US%20%26%20UK.jpg
US%20%26%20UK.jpg
US%20%26%20UK.jpg
 
Back
Top Bottom