Kelvin X
JF-Expert Member
- Jun 28, 2011
- 1,931
- 2,367
Wakuu,
Mkiangalia news output nyingi, wanaonesha Donald Trump yupo mbele ya Bush kwenye primaries za kugombea urais wa Marekani kupitia chama cha Republican. Lakini huyo tajiri alimuibia kiwanja Ghaddafi kilichokua New York, ambapo Ghaddafi alikua akifika US anaweka tent.
Donald Trump alimuuzia Ghaddafi ila Ghaddafi alipofariki, jamaa akakichukua na akajigamba CNN kwamba he is smart. Bora Hillary kuliko huyu jamaa. Msibeze siasa za Marekani, zina affect ulimwengu wote kwa namna fulani.
Mkiangalia news output nyingi, wanaonesha Donald Trump yupo mbele ya Bush kwenye primaries za kugombea urais wa Marekani kupitia chama cha Republican. Lakini huyo tajiri alimuibia kiwanja Ghaddafi kilichokua New York, ambapo Ghaddafi alikua akifika US anaweka tent.
Donald Trump alimuuzia Ghaddafi ila Ghaddafi alipofariki, jamaa akakichukua na akajigamba CNN kwamba he is smart. Bora Hillary kuliko huyu jamaa. Msibeze siasa za Marekani, zina affect ulimwengu wote kwa namna fulani.