Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 20,927
- 30,275
Mohamed Said.
Tunashukuru sana kwa kutujuza mengi kuhusu historia yetu huyu Dome Okochi Buduhi, ilikuaje akaingia kwenye siasa za Tanganyika.
Ni kweli alishawahi kuwa kiongozi wa TAA na muasisi wa TANU.
CC: THE BIG SHOW gombesugu FaizaFoxy wabara kahtaan faby
Shariff Ritz,
Dome Budohi alikuwa mmoja wa viongozi wa TAA lakini hakuwa kuwa
kiongozi katika TANU.
Nakuwekea hapa kitu kidogo angalia mwenyewe:
Shariff,
Nadhani umeona hapo sahihi ya Julius Nyerere, Abdu Sykes Dome Wafula
Budohi,John Rupia, Ally Sykes, Waziri Dossa Aziz.
Waandishi wa historia ya TANU kutoka CCM walipotaka kuletewa nyaraka kama
hizi muhimu wakaziogopa.
Nyerere Foundation nikawaandikia kuwaambia kuwa nina nyaraka muhimu za Nyerere
hadi leo hawajanijibu.
ingekuwa haioneshi jina na wadhifa wa Nyerereingekua hoja.
Mohamed Said
Hizi data unazipata wapi sidhani hata Makoa Makuu ya CCM wanazo hizi data au waandishi wa habari kina Mzee Mwanakijiji na wenzake hawajuhi waanzie wapi kuandika historia ya TAA na TANU.
Dome Okochi Budohi alipewa kadi na ngapi?
Na bado yupo hai?