Dola 250,000 zaibwa CCM UK?

Mimi nilishasema siku nyingi, hakuna mtu mwenye akili anayeshangilia CCM bila kutaka pesa. Si siku nyingi nilikutana na rafiki yangu mmoja hapo London aliyekwenye kamati ya CCM UK nikamuuliza kiungwana kwa nini anapenda CCM, jibu lilikuwa dogo alisema, "Mkuu CCM kuna pesa, ukisikia Tanzania ni masikini ni ujinga wetu". Sikuendelea naye. Wote walio CCM hapa UK ni kutafuta pesa tu.
 
Wana CCM wachache wa aina yako watakaokiri haya!

Bravo, karibu JF!
 
Mkuu utaona watavyojifanya kuchukua hatua baada ya kuona yamefika humu tena safari hii viongozi wa juu kabisa maana wengi wapo humu kama guest na wachache waliojitoa mhanga kama Nape kwa majina yao.250,000 usd! Haya bana fukara Tz.
 
UKishafungua tawi la chama cha siasa nje ya nchi ni ubinfsi Tosha. Hayo ya UFISADI ni mengineyo tu......... Kuna mambo mengi watanzania walio nje wanaweza kufanya kwa manufaa ya vyama vyao na nchi bila kutumia bendera za vyama vya siasa. ......
 
A bunch of spoiled ****** in the diaspora!! Kwa ufahamu wote ulionao unataka kuimarisha CCM UK for whose interests. Tulishaandika sana kuhusu mfumuko wa haya matawi sijui UK, MOSCOW, na kwingineko ughaibuni, wengi walisema kuhusu kutafuta kula fedha za magamba on the cheap. And here you go. Fedha zinatumwa UK toka bongo kuimarisha chama, kweli nchi hii tumelogwa..... hizo hazijaibiwa ndio kazi yake zimeshafanya, si ajabu hawa mamluki waliopo humu huenda wanalipwa kwa fedha hizo...
 
Duh! Kuna wakati Cameron alisema kama atachaguliwa atapiga marufuku vyama vya aina hii. Amefikia wapi? Kama pesa zimeliwa waripotiwe kwenye vyombo husika wachukuliwe hatua. Vyombo vya huko sio kama vya bongo. Watafanya kazi yao ipasavyo. Kulalamika tuu hapa haitatosha.
 
Hizo fedha sijui wanatumiwa kwa ajili ya kufanyia nini? na sijui kwanini hawakutumiwa Pound wakatumiwa Dolla? nani sijui anatuma hizi fedha?
 
Kama za ccm kuleni tu. Kula ziishe kampuni hii ifungwe tu!
 
Kuna kundi la wajanja kutoka CCM Birmingham likiongozwa na kapten wao Moses Katega na Nshomire wenzake/Wahaya wamefanya mchongo mzima, Viongozi wenzake Maina Owino,Alan Kalinga na Susan Mzee waambulia patupu,Wamepigwa changa la machoQUOTE=ccmuk;2131882]Inaashiria mambo kadhaa kama vile-Uongozi wetu hapa hauna maslahi kwa chama wana wanachama -Sisi tunafanya mambo kwa pupa mno bila ya kuwa na mipango-Kweli tulikuwa na mipango mingi lakini hii inaashiria kuwa hatuko makini kwenye mipango na si wakweli-Tumekuwa wabinafsi na mambo kama haya ndio ambayo yanatufanya sisi wengine tuvunjike moyo na viongozi wetu-Tumekuwa detached from the real issues....kweli tunahitaji kuimarisha chama Diaspora lakini hakuna maana ya kutumiwa pesa hizo halafu tunazifuja-Akina Susan Mzee (CCM Reading) wanalaumiwa kama ndio walio suka dili zima la kula pesa lakini hata kamati iliyoundwa hatuna imani nayo sisi wengine kwani imejaa wale wale ambao si waadilifu-Chama UK kimekuwa hakituambii ukweli wa hili jambo na kusema ukweli sisi wengine tumekuwa demoralised kabisa-Katika hali ya uchumi ilivyo nyumbani the last thing tunachohitaji ni kutumiwa mapesa mengi kama haya. Sisi wenyewe tungeanza kujipanga na kuanza jambo then tungeomba kusaidiwa half way through lakini sio hii style ya kupewa pesa kwani tunajua leo London, Kesho Mosco, kesho kutwa kwa bwana William New York etc[/QUOTE]
 
Hizo fedha sijui wanatumiwa kwa ajili ya kufanyia nini? na sijui kwanini hawakutumiwa Pound wakatumiwa Dolla? nani sijui anatuma hizi fedha?


Maswali yote muulize Moses Katega wa CCM UK ama kupitia kamati ya bwana Kapinga Kangoma ikiongozwa na Maina Owino
 
kwa kuongezea tuu ni kuwa imeundwa kamati ya kufuatilia na kujua pesa zimepotelea wapi

so far tunaambiwa kuwa kati ya milioni 300 na zaidi zishaliwa zaidi ya 150 na zingine zinaendelea kuliwa

Pesa imetoka Tanzania kwa dola lakini ikija huku inaingia kama paundi...mind you kumbe pesa zilitumwa kisiri siri

sasa pesa zimepotea...huku kinachoendelea tunaambiwa ohhh tuunde kamati. mimi najiuliza kamati ya nini wakati ni straight fwd case?

Pesa imetumwa

Pesa zimeingizwa kwenye akauni ya mtu/kampuni

Pesa zinaonekana zimepungua

Pesa hazionekani

watu wanaanza kulalamika ndio inajulikana kuwa alaaaaa kumbe kuna wajanja washakulaaaaa bas vikao tukaanza kufanya kwa kuuliza kulikoni

In short waliochonga dili mpaka pesa zikatumwa wakawa wamepotea

sasa kamati iliyoundwa watu washaanza kuzungumza kuwa walipiwe ticket za kwenda bongo kuchunguza....na safari kama mjuavyo, kutakuwa na ticket, matumizi etc

This is indefensible. Sisi kama chama UK tulitakiwa tusaidie watu nyumbani kwani walau tuna wepesi wa maisha lakini watu bila aibu wako bize kula pesa.
 




Katega katika Mchakato mzima
 

mkuu hao uliowaweka kwenye picha ndio wezi wenyewe au?? maana kama hawajaiba inatupa very wrong impressions na wao wanakua implicated negatively

BTW, kama wamechoka kimtindo hivi
 
badala ya kupeperusha bendera ya taifa wanapeperusha bendera ya chama..
 
Reactions: EMT
Hiyo kamati nayo wanataka wakidhi njaa zao.Ni kitu gani ambacho wanafuatilia bongo wameshindwa kupata kwenye simu au kwa internet.
 
Fedha haijaliwa, hiyo inaitwa payback, aliyetuma karudishiwa baadhi. Ni mchongo wa kula fedha kiujanja. CCM gani itume $250,000 uingereza za nini haswa? Mnatumiwa kama madodoki hamjijui. Sasa mnaingizwa kwenye mtandao wa wizi. Chama kinakufa 2015 wajanja wanajitahidi kula fedha za uzeeni. Mmetumika kuanzisha matawi na kuvaa vitenge vya kijani.

Fedha hamkutumiwa ninyi ilizungushwa ili iwarudie watumaji. Ndio maana Watumaji wanawashangaaa. Magamba ni magamba kwa kwenda mbele.....wapi Maajar
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…