Dokta please usicheke!

kibhopile

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2010
Posts
1,513
Reaction score
765
Jamaa ana tatizo kaingia kwa Daktari ikawa kama ifuatavyo,,

Jamaa: Dokta nina tatizo huku sirini,
Daktari : Hebu vua nguo tuone,
Jamaa: sawa navua ila naomba usicheke, pliz dkt usicheke.
Daktari : usijari mimi hii ndo kazi yangu siwezi kumcheka mgonjwa.

jamaa akavua suruali kuonesha dushelele yake. basi dokta kuona ustaarabu ukamshinda akaanza kucheka na akacheka kama dk 3 hadi machozi yakamtoka. kwani dushelele ya jamaa ni kadogo kama betri Ya AAA (betri za remote ya king'amuzi).Daktari alipomaliza kucheka mazungumzo yakaendelea,,

Daktari : enhee Tatizo ni nini???
Jamaa: IMEVIMBAA toka juzi,

Daktari Akazimia pale pale,,,,,,


NAWATAKIA LUNCH NJEMAA,,,,
 




Duuh, hiyo kali, ikiwa orijino ni dizaini ya 'tuspik' nini?
 
Pamoja na udogo wake lakini c inapiga kazi kama kawa!!???Inafurahisha lakini ..... Ha ha haaaa
 
Hata kama ndogo kiasi gani mladi itumbukie kwenye sirini ya mkewe bana

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Searching...100%
Loading...100%
Network Connected !

Near by Msamvu Morogoro.
 
Hata kama ndogo kiasi gani mladi itumbukie kwenye sirini ya mkewe bana

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
Sure mkuu lakini inabidi uwe hela sana,,,,ili uwe unavunja offside a.k.a kumtuliza mamsap,,
 

kiphobile, Ha ha ha ha! yani mimi ndo niko hoi kuliko wewe!
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…