Mwezi Mmoja uliopita Nami niliambiwa na Daktari nina Damu nyingi, Daktari alinishauri nisitoe Damu maana itajiongeza zaidi, but aliniadvise after 90 days hizo cells zitaondoka zenyewe.
Hili tatizo lipo lakini kapime sehemu nyingine mbili ili uone majibu kama yanashabihiana na hayo uliyopewa. Kama yanashabihiana basi unaweza kwenda kutoa damu ili uwasaidie wale wanaohitaji.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.