Dogo mdadisi

SI unit

JF-Expert Member
Feb 24, 2012
1,953
766
Dogo wa miaka 3 alikua klinik na mama yake, mara akamwona mama mjamzito anasubiri kwenda kwa daktari. Kwa kuwa yule dogo ni mdadisi akamfata yule mjamzito, mazungumzo yao yalikua hivi:
Dogo: Mbona tumbo lako ni kubwa hivyo?
Mjamzito: Kuna mtoto.
Dogo: Mtoto yupo ndani ya tumbo lako?
Mjamzito: Ndio mwanangu.
Dogo: Ni mtoto mzuri eeh?
Mjamzito: Ndio, tena mzuri sana, kama wewe.
**
Dogo huku akistaajabu, akaendelea kuuliza
:
:
"Sasa kwa nini ulim'meza?"
 
kwa sababu ni mzuri, hata wewe ulivyo mzuri mama ako atakumeza siku moja, umesikia eeh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…